Serikali imekosa ubunifu, inachofikiri ni kuongeza kodi tu

Yani jamaa wanakamua ng'ombe bila hata kumpa chakula cha kutosha.
 
Ukimuangalia Mpango na Mwigulu wote akili zao zinafanana, wanachofikiri kila siku ni kuongeza kodi. Kwa akili hizi hatuwezi kwenda mahali popote.

Tanzania ili iendelee lazima tuwe na ubunifu na lazima tutumie pure capitalism ili nchi iendelee kivipi;-
  • Kushusha corporate tax kutoka asilimia 30 mpaka 8
  • VAT kwa corporate iwe asilimia 4 na kwa bidhaa asilimia 2
  • Income tax iwe asilimia 3 hii itawafanya watu wengi walipe kodi
  • Interest rate kwa central bank kwenda commercial bank asilimia 2, na commercial bank hawaruhusiwi kuomtoza mtu Zaid ya asilimia 5 kwa kampuni na mtu aliyeko Tanzania
  • Ili kufungua kampuni Tanzania haihitaji kuwa mtanzania
  • Kuondoa tax holiday kwa sababu tayari Kodi zimeshashushwa maradufu
  • Kuondoa minimum wages kwenye private sector muajiri na mwajiriwa wataelewana na soko ndo litakaloamua
  • Transit duty asilimia 2
  • Sales tax asilimia 3
  • Mtalii akija Tanzania alipa dollar 500 tu hio ndo kama kibali Cha yeye kutembelea vivutio vyote bila ya usumbufu kwa mda usiozidi mwezi mmoja
Na pia ilikuvutia uwekezaji lazima mfumo wa mahakama uwe huru asilimia mia 100 kivip;-
Jaji mkuu, na majaji wote wanachaguliwa na mahakama, mahakimu wote wanaajiriwa na mahakama- Rais hausiki na serekali haihusiki kwenye kuwachagua kwa namna yeyote Ile

Kufanya serekali kuwa ndogo kwanza kuwaondoa wakuu wa wilaya wote, mkuu wa mkoa anachaguliwa na wananchi na analipwa msharahara kulingana na mapato ya mkoa husika. Kazi nyingi za serekali sio zote zinakua outsource kwa private sector

Wabunge mishahara na posho zitabaki kama zilivyo, kama wananchi wengine lazima watozwe Kodi, na hawatanunuliwa zile V8, mbunge akitaka kufanya ziara jimboni kwake usafiri na mafuta atagharamikiwa na mkoa wake, kwenda kwenye vikao vya binge ni gharama zake

NOTE;- Baada ya haya mabadiliko Tanzania itakuwa ni kitovu cha contract manufacturing barani afrika na ajira nyingi zitazalishwa. Na pia uchumi utapanda maradufu kwa sababu uchumi utakua kwa asilimia 12-15% na ukiendelea hivi kwa miaka 10 tu itakua ni habari nyingine umaskin utapungua

Lugha iliyotumika sio nzuri sana
You have a point,good ideas.
 
Msururu wa mavyeo ya uteuzi ambayo hayana tija zaidi ya kukomba pesa za umma kupitia mishahara na posho kubwa kubwa na magari ya kifahari yanaitwisha serikali mzigo mkubwa na kuishia kuhamishia mzigo kwa wananchi kupitia kodi zinazotozwa kila pahala...
 
Ukimuangalia Mpango na Mwigulu wote akili zao zinafanana, wanachofikiri kila siku ni kuongeza kodi. Kwa akili hizi hatuwezi kwenda mahali popote.

Tanzania ili iendelee lazima tuwe na ubunifu na lazima tutumie pure capitalism ili nchi iendelee kivipi;-
  • Kushusha corporate tax kutoka asilimia 30 mpaka 8
  • VAT kwa corporate iwe asilimia 4 na kwa bidhaa asilimia 2
  • Income tax iwe asilimia 3 hii itawafanya watu wengi walipe kodi
  • Interest rate kwa central bank kwenda commercial bank asilimia 2, na commercial bank hawaruhusiwi kuomtoza mtu Zaid ya asilimia 5 kwa kampuni na mtu aliyeko Tanzania
  • Ili kufungua kampuni Tanzania haihitaji kuwa mtanzania
  • Kuondoa tax holiday kwa sababu tayari Kodi zimeshashushwa maradufu
  • Kuondoa minimum wages kwenye private sector muajiri na mwajiriwa wataelewana na soko ndo litakaloamua
  • Transit duty asilimia 2
  • Sales tax asilimia 3
  • Mtalii akija Tanzania alipa dollar 500 tu hio ndo kama kibali Cha yeye kutembelea vivutio vyote bila ya usumbufu kwa mda usiozidi mwezi mmoja
Na pia ilikuvutia uwekezaji lazima mfumo wa mahakama uwe huru asilimia mia 100 kivip;-
Jaji mkuu, na majaji wote wanachaguliwa na mahakama, mahakimu wote wanaajiriwa na mahakama- Rais hausiki na serekali haihusiki kwenye kuwachagua kwa namna yeyote Ile

Kufanya serekali kuwa ndogo kwanza kuwaondoa wakuu wa wilaya wote, mkuu wa mkoa anachaguliwa na wananchi na analipwa msharahara kulingana na mapato ya mkoa husika. Kazi nyingi za serekali sio zote zinakua outsource kwa private sector

Wabunge mishahara na posho zitabaki kama zilivyo, kama wananchi wengine lazima watozwe Kodi, na hawatanunuliwa zile V8, mbunge akitaka kufanya ziara jimboni kwake usafiri na mafuta atagharamikiwa na mkoa wake, kwenda kwenye vikao vya binge ni gharama zake

NOTE;- Baada ya haya mabadiliko Tanzania itakuwa ni kitovu cha contract manufacturing barani afrika na ajira nyingi zitazalishwa. Na pia uchumi utapanda maradufu kwa sababu uchumi utakua kwa asilimia 12-15% na ukiendelea hivi kwa miaka 10 tu itakua ni habari nyingine umaskin utapungua

Lugha iliyotumika sio nzuri sana
Nakubaliana na wewe, bado hatunaviongozi wenye dira kabisa

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Ukimuangalia Mpango na Mwigulu wote akili zao zinafanana, wanachofikiri kila siku ni kuongeza kodi. Kwa akili hizi hatuwezi kwenda mahali popote.

Tanzania ili iendelee lazima tuwe na ubunifu na lazima tutumie pure capitalism ili nchi iendelee kivipi;-
  • Kushusha corporate tax kutoka asilimia 30 mpaka 8
  • VAT kwa corporate iwe asilimia 4 na kwa bidhaa asilimia 2
  • Income tax iwe asilimia 3 hii itawafanya watu wengi walipe kodi
  • Interest rate kwa central bank kwenda commercial bank asilimia 2, na commercial bank hawaruhusiwi kuomtoza mtu Zaid ya asilimia 5 kwa kampuni na mtu aliyeko Tanzania
  • Ili kufungua kampuni Tanzania haihitaji kuwa mtanzania
  • Kuondoa tax holiday kwa sababu tayari Kodi zimeshashushwa maradufu
  • Kuondoa minimum wages kwenye private sector muajiri na mwajiriwa wataelewana na soko ndo litakaloamua
  • Transit duty asilimia 2
  • Sales tax asilimia 3
  • Mtalii akija Tanzania alipa dollar 500 tu hio ndo kama kibali Cha yeye kutembelea vivutio vyote bila ya usumbufu kwa mda usiozidi mwezi mmoja
Na pia ilikuvutia uwekezaji lazima mfumo wa mahakama uwe huru asilimia mia 100 kivip;-
Jaji mkuu, na majaji wote wanachaguliwa na mahakama, mahakimu wote wanaajiriwa na mahakama- Rais hausiki na serekali haihusiki kwenye kuwachagua kwa namna yeyote Ile

Kufanya serekali kuwa ndogo kwanza kuwaondoa wakuu wa wilaya wote, mkuu wa mkoa anachaguliwa na wananchi na analipwa msharahara kulingana na mapato ya mkoa husika. Kazi nyingi za serekali sio zote zinakua outsource kwa private sector

Wabunge mishahara na posho zitabaki kama zilivyo, kama wananchi wengine lazima watozwe Kodi, na hawatanunuliwa zile V8, mbunge akitaka kufanya ziara jimboni kwake usafiri na mafuta atagharamikiwa na mkoa wake, kwenda kwenye vikao vya binge ni gharama zake

NOTE;- Baada ya haya mabadiliko Tanzania itakuwa ni kitovu cha contract manufacturing barani afrika na ajira nyingi zitazalishwa. Na pia uchumi utapanda maradufu kwa sababu uchumi utakua kwa asilimia 12-15% na ukiendelea hivi kwa miaka 10 tu itakua ni habari nyingine umaskin utapungua

Lugha iliyotumika sio nzuri sana
USHAURI NI MZURI SANA KWA WAPINZANI ILA KWA CCM HII UTAITWA BEBERU MKUU
 
Ukimuangalia Mpango na Mwigulu wote akili zao zinafanana, wanachofikiri kila siku ni kuongeza kodi. Kwa akili hizi hatuwezi kwenda mahali popote.

Tanzania ili iendelee lazima tuwe na ubunifu na lazima tutumie pure capitalism ili nchi iendelee kivipi;-
  • Kushusha corporate tax kutoka asilimia 30 mpaka 8
  • VAT kwa corporate iwe asilimia 4 na kwa bidhaa asilimia 2
  • Income tax iwe asilimia 3 hii itawafanya watu wengi walipe kodi
  • Interest rate kwa central bank kwenda commercial bank asilimia 2, na commercial bank hawaruhusiwi kuomtoza mtu Zaid ya asilimia 5 kwa kampuni na mtu aliyeko Tanzania
  • Ili kufungua kampuni Tanzania haihitaji kuwa mtanzania
  • Kuondoa tax holiday kwa sababu tayari Kodi zimeshashushwa maradufu
  • Kuondoa minimum wages kwenye private sector muajiri na mwajiriwa wataelewana na soko ndo litakaloamua
  • Transit duty asilimia 2
  • Sales tax asilimia 3
  • Mtalii akija Tanzania alipa dollar 500 tu hio ndo kama kibali Cha yeye kutembelea vivutio vyote bila ya usumbufu kwa mda usiozidi mwezi mmoja
Na pia ilikuvutia uwekezaji lazima mfumo wa mahakama uwe huru asilimia mia 100 kivip;-
Jaji mkuu, na majaji wote wanachaguliwa na mahakama, mahakimu wote wanaajiriwa na mahakama- Rais hausiki na serekali haihusiki kwenye kuwachagua kwa namna yeyote Ile

Kufanya serekali kuwa ndogo kwanza kuwaondoa wakuu wa wilaya wote, mkuu wa mkoa anachaguliwa na wananchi na analipwa msharahara kulingana na mapato ya mkoa husika. Kazi nyingi za serekali sio zote zinakua outsource kwa private sector

Wabunge mishahara na posho zitabaki kama zilivyo, kama wananchi wengine lazima watozwe Kodi, na hawatanunuliwa zile V8, mbunge akitaka kufanya ziara jimboni kwake usafiri na mafuta atagharamikiwa na mkoa wake, kwenda kwenye vikao vya binge ni gharama zake

NOTE;- Baada ya haya mabadiliko Tanzania itakuwa ni kitovu cha contract manufacturing barani afrika na ajira nyingi zitazalishwa. Na pia uchumi utapanda maradufu kwa sababu uchumi utakua kwa asilimia 12-15% na ukiendelea hivi kwa miaka 10 tu itakua ni habari nyingine umaskin utapungua

Lugha iliyotumika sio nzuri sana
Muhimu pia ni kupunguza informal sector isiyolipa kodi.. Ie taxi bubu, boda boda, mama ntilie, machinga,mafundi binafsi na biashara nyinginezo ziwe rasmi kwenye mfumo wa serikali wa kulipa kodi.
 
Muhimu pia ni kupunguza informal sector isiyolipa kodi.. Ie taxi bubu, boda boda, mama ntilie, machinga,mafundi binafsi na biashara nyinginezo ziwe rasmi kwenye mfumo wa serikali wa kulipa kodi.
Kodi ikiwa ndogo ni rahisi sana kurasimisha informal sector kuwa formal sector
 
Back
Top Bottom