Serikali imeidhalilisha miili ya marehemu wa MV Nyerere, kuiweka kwenye Majeneza ya mabanzi

Kweli mkuu...bora hata haya majeneza ninayouza mimi hapa Dodoma yana kiwango cha kisasa kabisa.!
Lakini pia tusilaumu sirikali katika hili ujue waliofariki ni wengi na kununua majeneza ya bei ghali kwa ghafla ni pesa mingi sana ukizingatia ni tukio la dharula hivyo sio mbaya hata kutumia hayo tu japo namuonea gere aliyechukua hiyo tenda.
Ila pesa za kurudia chaguzi ndo sio nyingi?
 
Nikushukuru Mkwepakodi, hapo tu umechangia, kukiri nafsi yako kwamba serikali haikutekeleza wajibu wake hata kidogo, lazima tu-shout ili hawa watawala waamke kutoka usingizini, asante.

Serikali haikutumia juhudi zake na taasisi zake kufanya uokoaji.
Serikali haikupaswa kukimbizana kuzika (wale waliozikwa awali), bali wangehifadgi miili ili iweze kutambuliwa.

Fore most; haihitaji sheria wala mamlaka kuona kuwa watu/abiria niwengi hivyo iongezwe tripu nyingine ili chombo kisizidiwe uwezo......inaniuma sana
 
Serikali haikutumia juhudi zake na taasisi zake kufanya uokoaji.
Serikali haikupaswa kukimbizana kuzika (wale waliozikwa awali), bali wangehifadgi miili ili iweze kutambuliwa.

Fore most; haihitaji sheria wala mamlaka kuona kuwa watu/abiria niwengi hivyo iongezwe tripu nyingine ili chombo kisizidiwe uwezo......inaniuma sana
Hata hatua ya kuwazika hao maiti harak haraka haikuwa sahihi hata kidogo, maiti ikunzwa vema inaweza kukaa muda mrefu sana, sasa wanakimbilia kuwazika manake ndugu zao ndio hawatakuja kujua tena.
 
Wale maiti hakuna ajuae mkisto ni yupi na muislam ni yupi,hivyo kulikua hakuna muda wa kuleta mbembe kwani si sheria mwislam kuzikwa na jeneza
 
Ebu tulizeni nzuka kudogo tumeagiza mazuri yanakuja uchaguzi ujao tufukua hiyo miili tutazika upya na majeneza mapyaaaaaa sijavuta bangi ila na mpango wa kuvuta bdae
 
Kwakweli sina mengi ya kusema ila kwa majeneza Yale. Aisee sio fair kabisa serikali haijafilisika kiasi hicho cha kutumia majeneza ya namba ile

Ngoja tu tukae kimya tumuachie Mungu maana wenye nchi hawataki tuongee ongee hovyo.
View attachment 877125
Hivi mnajua kuna tofauti ya masanduku kati ya waislam na wakristo, mi misiba yote ya waislam niliyohudhuria wana masanduku km hayo, hadi ndo nimejua wanavyozikia hivyo, na tuache ushabiki wa kijinga ulitaka lije jeneza kuubwa la mbwembwe nyingi kuzika watu 200, mleta uzi huna busara tumia busara, sio unaponda kila kitu, na rambirambi zishachangishwa na kila familia inalamba 1M sanduku kitu kidogo sana
 
Yaani hata mimi nimeshangaa. Hata kama mbao ni za kiwango cha chini vile yaani hata kupiga randa kidogo kumewashinda?.Kwa aibu wameamua kuyafunika. Inasikitisha sana
Sio aibu, jeneza huwa linafunikwa, inaonekana hujawahi kushusha sanduku kaburini mkuu, huwa linafunikwa na halifunuliwi hadi maiti ifunikwe
 
Serikali haikutumia juhudi zake na taasisi zake kufanya uokoaji.
Serikali haikupaswa kukimbizana kuzika (wale waliozikwa awali), bali wangehifadgi miili ili iweze kutambuliwa.

Fore most; haihitaji sheria wala mamlaka kuona kuwa watu/abiria niwengi hivyo iongezwe tripu nyingine ili chombo kisizidiwe uwezo......inaniuma sana
Watanzania kweli inaonekana hawawez hata kupembua hali zao za mazingira, watu km ninyi ndo mnadiskas hata vitu vilivyo wazi machoni badala ya kutoa maamuzi mnakaa kaa na kudiskasi,
 
Hivi mnajua kuna tofauti ya masanduku kati ya waislam na wakristo, mi misiba yote ya waislam niliyohudhuria wana masanduku km hayo, hadi ndo nimejua wanavyozikia hivyo, na tuache ushabiki wa kijinga ulitaka lije jeneza kuubwa la mbwembwe nyingi kuzika watu 200, mleta uzi huna busara tumia busara, sio unaponda kila kitu, na rambirambi zishachangishwa na kila familia inalamba 1M sanduku kitu kidogo sana
Kwamba niache ushabiki Wa kijinga?

Kwamba sina busara?



SAWA BWANA
 
Kwamba niache ushabiki Wa kijinga?

Kwamba sina busara?



SAWA BWANA
Huna busara, acha ushabiki wa kijinga, unalalamika jeneza unajua kiserikali inazikaje halaiki ya watu wanaofariki, kama hujui basi fanya research, sanduku la kawaida la kumlaza marehem ndo hilo, na linatumika hata kwa ndugu zetu waislamu, wewe hilo unalotaka ni swala binafsi sio protocal
 
Huna busara, acha ushabiki wa kijinga, unalalamika jeneza unajua kiserikali inazikaje halaiki ya watu wanaofariki, kama hujui basi fanya research, sanduku la kawaida la kumlaza marehem ndo hilo, na linatumika hata kwa ndugu zetu waislamu, wewe hilo unalotaka ni swala binafsi sio protocal

Wacha wee! ndio umemaliza au?
 
Je na waislam tunaozika bila jeneza ni kwamba tunadhalilisha wapendwa wetu au mtoa uzi una lako!!!?
Wabongo hatukosagi la kuongea asee
 
Back
Top Bottom