Ukiuliza utaambiwa kila jeneza ni laki nane, ndiyo maana mimi nimeapa atakayenisogelea kuomba mchango wa maafa nitamzabua kibao hicho mpaka aone nyota na kizunguzungu kabla hajaanguka chini na kuzimiaKwakweli sina mengi ya kusema ila kwa majeneza Yale. Aisee sio fair kabisa serikali haijafilisika kiasi hicho cha kutumia majeneza ya namba ile
Ngoja tu tukae kimya tumuachie Mungu maana wenye nchi hawataki tuongee ongee hovyo
kikubwa tumewahifadhi! Huko kijijini kwetu hayo majeneza yenye madoido hatujayazoea, tungeyajimbua bure!Kwakweli sina mengi ya kusema ila kwa majeneza Yale. Aisee sio fair kabisa serikali haijafilisika kiasi hicho cha kutumia majeneza ya namba ile
Ngoja tu tukae kimya tumuachie Mungu maana wenye nchi hawataki tuongee ongee hovyo
AiseeMbao zimepigwa tuu na kufunikwa shuka za kariakoo
Kwakweli sina mengi ya kusema ila kwa majeneza Yale. Aisee sio fair kabisa serikali haijafilisika kiasi hicho cha kutumia majeneza ya namba ile
Ngoja tu tukae kimya tumuachie Mungu maana wenye nchi hawataki tuongee ongee hovyo