Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Serikali kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi mpaka leo ikiwa ni tarehe 01/12/2013 si ushahidi kwamba serikali imefilisika?
Waziri kivuli wa fedha mbona kimya?
Hela zinaishia kuwalipa Dowans na IPTL?
Waziri kivuli wa fedha mbona kimya?
Hela zinaishia kuwalipa Dowans na IPTL?