Serikali imeanza kupokea maoni kwa ajili ya uundwaji wa kanuni za sheria huduma za habari

aloyce ibra

Member
Oct 26, 2016
60
25
Nimefsrikijika sanaaaa kwa hii taarifa....wale wenzangu na mimi wa kusema hamkushirikishwa nafasi ndo hii muache porojo
95e524b6a28df337c3cc172286e2937b.jpg
 
Duuuh...!! yaani wanakumbuka shuka kumeisha kucha... Kwa hiyo tukitoa maoni hiyo sheria itarudi tena kuwa muswada na kupelekwa tena Bungeni..???....Kama hivyo vipengele vingejadiliwa bungeni kusingekuwa na mlolongo wa kuja tena kuomba ushauri mtaani......
 
Nimefsrikijika sanaaaa kwa hii taarifa....wale wenzangu na mimi wa kusema hamkushirikishwa nafasi ndo hii muache porojo
95e524b6a28df337c3cc172286e2937b.jpg
Km sheria ni mbovu uctegemee kanuni zitakua nzuri sababu kanuni hutungwa kwa kufuata sheria ili visikinzane. Kanuni na mpango wa namna ya kutekeleza sheria iliyokwisha tungwa. Hiki ni kiini macho na wakawadanganye watoto wenzao.
 
Duuuh...!! yaani wanakumbuka shuka kumeisha kucha... Kwa hiyo tukitoa maoni hiyo sheria itarudi tena kuwa muswada na kupelekwa tena Bungeni..???....Kama hivyo vipengele vingejadiliwa bungeni kusingekuwa na mlolongo wa kuja tena kuomba ushauri mtaani......

Mzee acha kujiabisha...sheria ilipotishwa bila kanuni....now ndo muda wa kuunda kanuni ili iendane na sheria iliyopitishwa na sio kurudishwa tena bungeni.....hii jamii forum imebeba watu wa hovyo....hapa ndipo utajua wafuata upepo na wenye IQ zao...kama hujui kanuni zinaundwa baada ya sheria kupitishwa sasa hii sinishida
 
Walitoa milioni 10 ili sheria ipitishwe haraka. Kwanini hawakusubiri maoni kutoka kwa wadau ili wapitishe sheria iliyo bora?

We naeeee...hebu jaribu kifikiri kabla ya kukurupuka kuandika ujinga....sheria inapitishwa halafu baadae wadau wanakutana kuunda kanuni ili ziendane na sheria iliyopo....msyuuuuu....we lazima utakuwa rangi ya kaki......
 
Mzee acha kujiabisha...sheria ilipotishwa bila kanuni....now ndo muda wa kuunda kanuni ili iendane na sheria iliyopitishwa na sio kurudishwa tena bungeni.....hii jamii forum imebeba watu wa hovyo....hapa ndipo utajua wafuata upepo na wenye IQ zao...kama hujui kanuni zinaundwa baada ya sheria kupitishwa sasa hii sinishida
We ndo unajiaibisha tena IQ yako naona inasoma negative....Hivi wewe unategemea sheria inapitishwa kibabe halafu kanuni ndo zije kuzungumziwa na nani.??...kwanin wao walioipitisha wasiunde hizo kanuni wakajihakikishia ushindi wao bila bugdha......acha unafiki hiyo sheria ni kandamizi.....sema namuelewesha -ve minded person .....Bora niweke music WAPI DARASA.....
 
We naeeee...hebu jaribu kifikiri kabla ya kukurupuka kuandika ujinga....sheria inapitishwa halafu baadae wadau wanakutana kuunda kanuni ili ziendane na sheria iliyopo....msyuuuuu....we lazima utakuwa rangi ya kaki......

Wewe ni ke au me? Waliombwa mpaka January ili wadau wa habari waipitie vizuri na kujiridhisha nayo lakini serikali ikakataa ndio wakaipitisha kwa kuongo wabunge wa sisiem milioni 10 kila mmoja. Kwanini hawakusubiri kama walijua huo mswada wa sheria unamapungufu? Kwanini waliupitisha haraka na Rais akasaini haraka halafu leo wanataka kupokea maoni kutoka kwa hao wadau wa habari?
 
Wewe ni ke au me? Waliombwa mpaka January ili wadau wa habari waipitie vizuri na kujiridhisha nayo lakini serikali ikakataa ndio wakaipitisha kwa kuongo wabunge wa sisiem milioni 10 kila mmoja. Kwanini hawakusubiri kama walijua huo mswada wa sheria unamapungufu? Kwanini waliupitisha haraka na Rais akasaini haraka halafu leo wanataka kupokea maoni kutoka kwa hao wadau wa habari?

Mzee mbon mgumu kuelewa....mbon upo kwenye kiwango kikubwa cha ujinga labda niandike kwa herufi kubwa uelewe... SHERIA HAIPITISHWI NA KANUNI, BAADA YA SHERIA KUPITA NDIO WADAU WANAITWA SASA KUTOA MAONI ILI KUTUNGA KANUNI ZA KUONGOZA SHERIA ILIYOPITISHWA...NA SIO KWAMBA SHERIA INA KASORO NDIO MAANA MAONI YANAOMBWA...kama hujaelewa sasa itakuwa bahati mbaya...
 
Mzee mbon mgumu kuelewa....mbon upo kwenye kiwango kikubwa cha ujinga labda niandike kwa herufi kubwa uelewe... SHERIA HAIPITISHWI NA KANUNI, BAADA YA SHERIA KUPITA NDIO WADAU WANAITWA SASA KUTOA MAONI ILI KUTUNGA KANUNI ZA KUONGOZA SHERIA ILIYOPITISHWA...NA SIO KWAMBA SHERIA INA KASORO NDIO MAANA MAONI YANAOMBWA...kama hujaelewa sasa itakuwa bahati mbaya...

Mkuu unaishi dunia ipi? Ile siku Rais alivyokutana na wandishi wa habari walimuomba awaongezee mda akakataa na akasema ikifika ofisini kwake atasaini.
Swali langu ni kwanini waliipitisha haraka wakati hawakuchukua maoni ya wadau? Wanachokifanya sasa hivi ndio walichoombwa na wadau wa habari.
 
Nimefsrikijika sanaaaa kwa hii taarifa....wale wenzangu na mimi wa kusema hamkushirikishwa nafasi ndo hii muache porojo
95e524b6a28df337c3cc172286e2937b.jpg

Pamoja na Maumivu yanayoendelea nadhani JF c/o Mawakili wake hili watalishughulikia.

Na maanisha kuomba Court injection hadi Kesi ya Kikatiba kuhusu sheria maman ya Kanuni hizo itakaposikiliwa na kutolewa maamuzi haya mambo ya Kanuni yasimame.

cc. JamiiForums ,Maxence Melo Mzee Mwanakijiji nk.
 
Kama mchakato wa katiba mpya, waliuanzisha wao lakini kumbe walikuwa wameandaa rasimu yao, mwisho maoni ya wananchi wakayakataa na kuweka yao. Mnapoteza muda wenu bure kabisa kufuatilia mambo ya ccm.
 
We naeeee...hebu jaribu kifikiri kabla ya kukurupuka kuandika ujinga....sheria inapitishwa halafu baadae wadau wanakutana kuunda kanuni ili ziendane na sheria iliyopo....msyuuuuu....we lazima utakuwa rangi ya kaki......
Na wewe unachokasirikia nini?
My friend Usiforce tufanane
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom