Serikali imeanza kuhakiki mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Mchina anajenga Isaka - Mwanza na Mturuki anajenga Dar - Tabora
Does it make any difference?! Tena Mchina mwenyewe sio mwingine bali ni yule yule wa mara ya kwanza!!

On top of that, makubaliano ya awali na Mchina ilikuwa almost USD 7.7 Billion... tukaambiwa ni ufisadi mtupu!!! Hivi sasa, Shirika la Reli wenyewe wanakuambia:-
mpaka sasa jumla ya fedha ambazo serikali imewekezakatika ujenziwa Reli ya SGRkwa awamu ya kwanza Dar es Salaam - Mwanza kwa vipande vinne kati ya vitano yani Dar es Salaam –Morogoro, Morogoro - Makutupora, Makutupora - Tabora na Mwanza - Isaka imefikia shilingi za Kitanzania Trilioni 14.7 ukijumlisha na kodi ya ongezeko la thamani (VAT).
Ngoja niongeze sauti potelea mbali hata kama mtasema tunamchukia Magu... HADI SASA IMESHATUMIKA KARIBU SHILINGI TRILLION 15, and the accounting is still going on wakat hapo kabla tuliambiwa USD 7.7 Billion ni ufisadi mtupu!

Mbaya zaidi, miongoni mwa pesa tulizotumia kujenga hii reli ni MIKOPO YA KIBIASHARA kutoka Standard Chartered Bank ya UK, na Credit Suisse ya UK!

Kwa maana nyingine, hiyo 14.7 Trillion, ukichanganya na ukali wa mikopo ya kibiashara kutoka kwa wale wale mnaowaita mabeberu, my friend, hadi sasa REAL COST ambayo tumeshaingia ni kubwa zaidi kuliko hizo reported figures, na kazi bado haijaisha!!

Na Mchina pamoja na ukatili wake unaoimbwa kila leo, ukatili ambao umechochewa zaidi na Serikali ya Trump iliyokuwa inaihofia BRI, bado pamoja na ukatili huo ukali wa mikopo yake huwezi kulinganisha na mikopo kutoka Mabenki ya Nchi za Magharibi!

Utafiti ambao ulifanywa mwaka jana na Wamarekani wenyewe, kwa mshangao (kama na wao walivyokuwa wanaambiwa na serikali yao) wakagundua Mikopo ya Wachina kwa Africa ni VERY CHEAP as compared to mikopo kutoka kwa International Lenders (with the exceptional from multilateral financial institutions) na mara nyingi riba zake huwa zina-range 0.6% to 2% huku iliyo chini ya 2% ikiwa ndo mingi zaidi!

HOWEVER, ni kweli hivi sasa Mchina kashtuka! Amechelewa sana kufahamu kwamba Miafrika ni MIZITO kweli kweli kwenye kulipa madeni... from state to individual level! Matokeo yake hivi sasa anawakazia kweli kweli kama alivyowakazia Kenya hivi majuzi waliokuwa wanataka ulipaji wa deni lao usogezwe mbele, lakini Mchina akawachomolea...

Huku kwetu (na Zambia) nako, hadi kesho DENI la ujenzi wa TAZARA ambayo inakaribia miaka 50 sasa, BADO HAMJAMALIZA KUMLIPA MCHINA huku raslimali zenu karibu zote zikiwa chini ya wale wale mnaowaita mabeberu!!

Yaani raslimali zenu zipo kwa wale wale ambao leo wanawaambia "huyo Mchina anawakopesha kwa sababu anataka raslimali zenu"! Yaani wale wale ambao walipinga sana ujenzi wa TAZARA!!

AKILI ZA MBAYUWAYU CHANGANYENI NA ZA KWENU!!

And FYI, jana nimechukua cheki ya $250, malipo ya January 2022 to June 2022 ili kuja kumtetea Mchina hapa... how does it feel?! Jealous enh?!
 
Mkataba wa draft form unawekewa jiwe la msingi?
Tofautisha Reality na Siasa wewe...

Zile zilikuwa ni siasa tu za Uchaguzi Mkuu...

Hata SGR ilishazinduliwa wakati hapakuwa na mkataba wowote kati ya Serikali na Mchina...

Na mambo mengine hata kama huna taarifa nayo unatakiwa kutumia common sense!!! Kwa hoja yako, ina maana unaamini Mkataba ulishasainiwa na ndo maana waliweka jiwe la msingi!!

Hivi umeshawahi kusikia popote kwamba Serikali IMEVUNJA mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo?! Hivi mkataba ambao umeshasainiwa unaweza kupigwa danadana kirahisi rahisi tu na kuleta tena habari za "Majadiliano yanaendelea"? Majadiliano ya nini wakati mmeshasaini mkataba?

Sawa, unaona kabisa ukutani kuna picha ya Kiboko huku chini yake pameandikiwa Hippopotamus! Tuseme hujui jinsi ya kusoma neno hippopotamus, ina maana hata hiyo picha ya kiboko huioni?!
 
Does it make any difference?! Tena Mchina mwenyewe sio mwingine bali ni yule yule wa mara ya kwanza!!

On top of that, makubaliano ya awali na Mchina ilikuwa almost USD 7.7 Billion... tukaambiwa ni ufisadi mtupu!!! Hivi sasa, Shirika la Reli wenyewe wanakuambia:-

Ngoja niongeze sauti potelea mbali hata kama mtasema tunamchukia Magu... HADI SASA IMESHATUMIKA KARIBU SHILINGI TRILLION 15, and the accounting is still going on wakat hapo kabla tuliambiwa USD 7.7 Billion ni ufisadi mtupu!

Mbaya zaidi, miongoni mwa pesa tulizotumia kujenga hii reli ni MIKOPO YA KIBIASHARA kutoka Standard Chartered Bank ya UK, na Credit Suisse ya UK!

Kwa maana nyingine, hiyo 14.7 Trillion, ukichanganya na ukali wa mikopo ya kibiashara kutoka kwa wale wale mnaowaita mabeberu, my friend, hadi sasa REAL COST ambayo tumeshaingia ni kubwa zaidi kuliko hizo reported figures, na kazi bado haijaisha!!

Na Mchina pamoja na ukatili wake unaoimbwa kila leo, ukatili ambao umechochewa zaidi na Serikali ya Trump iliyokuwa inaihofia BRI, bado pamoja na ukatili huo ukali wa mikopo yake huwezi kulinganisha na mikopo kutoka Mabenki ya Nchi za Magharibi!

Utafiti ambao ulifanywa mwaka jana na Wamarekani wenyewe, kwa mshangao (kama na wao walivyokuwa wanaambiwa na serikali yao) wakagundua Mikopo ya Wachina kwa Africa ni VERY CHEAP as compared to mikopo kutoka kwa International Lenders (with the exceptional from multilateral financial institutions) na mara nyingi riba zake huwa zina-range 0.6% to 2% huku iliyo chini ya 2% ikiwa ndo mingi zaidi!

HOWEVER, ni kweli hivi sasa Mchina kashtuka! Amechelewa sana kufahamu kwamba Miafrika ni MIZITO kweli kweli kwenye kulipa madeni... from state to individual level! Matokeo yake hivi sasa anawakazia kweli kweli kama alivyowakazia Kenya hivi majuzi waliokuwa wanataka ulipaji wa deni lao usogezwe mbele, lakini Mchina akawachomolea...

Huku kwetu (na Zambia) nako, hadi kesho DENI la ujenzi wa TAZARA ambayo inakaribia miaka 50 sasa, BADO HAMJAMALIZA KUMLIPA MCHINA huku raslimali zenu karibu zote zikiwa chini ya wale wale mnaowaita mabeberu!!

Yaani raslimali zenu zipo kwa wale wale ambao leo wanawaambia "huyo Mchina anawakopesha kwa sababu anataka raslimali zenu"! Yaani wale wale ambao walipinga sana ujenzi wa TAZARA!!

AKILI ZA MBAYUWAYU CHANGANYENI NA ZA KWENU!!

And FYI, jana nimechukua cheki ya $250, malipo ya January 2022 to June 2022 ili kuja kumtetea Mchina hapa... how does it feel?! Jealous enh?!
Mchina amejenga SGR Kenya si uende ukawaulize amewajengea kwa shs ngapi na kwa ubora gani?
 
Gazeti la Mwananchi toleo la leo limekuja na habari kuwa serikali ya Rais Samia imeanza kupitia upya na kuhakiki mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uliotiliwa shaka na hayati Magufuli kuwa una mashariti magumu yanayolenga kuuwa taifa kiuchumi na ni kichaa tu anayeweza kusaini na kukubaliana na mashariti hayo.

Ikumbukwe waziri aliyetumbuliwa bwana Geofrey Mwambe alikanusha kuwa hakuna mkataba wowote wa bandari ya Bagamoyo na kwamba Magufuli alipotoshwa.

My take: Serikali inahakiki mkataba upi tena wakati haujawahi kuwepo?

View attachment 2084598
Kwahiyo ni serikali ya vichaa na walevi? Maana Magufuli alisema ni kichaa mlevi tu ndio anaweza akatia saini mkataba kama huo
 
Marekani haiwezi kukubali China kupata bandari ya bahari ya hindi ili waweke manowari zao Bagamoyo. Itapiga vita mpaka basi.
Kwa upande mmoja upo sahihi lakini kwa bahati mbaya sana hivi sasa Mmarekani hana ubavu wa kumzuia Mchina, na ndo maana fimbo pekee anaoyoitumia dhidi ya China ni Propaganda!

Na Marekani inaelekea walishagundua kwamba Waafrika huwa hatufuatlii mambo, kwahiyo The New York Times wakiruka na habari kwa mfano "China seizes Sri Lankan Port...", sote tutaanza kucheza ngoma yao, na media za Afrika zitaruka na habari hiyo!

Hata hivyo, hivi sasa Marekani na wenzake wamegundua kwamba Propaganda Card can't work for long, na ndo maana mwaka jana, France24 ambayo ni state (France) owned international news outlet waliandika kwamba:-
France is now also seeking to make new inroads on the African continent by tweaking its strategy towards developing nations. Paris has managed to increase its global aid budget even amid the coronavirus crisis, with development spending rising from €10.9 billion in 2019 to €12.8 billion in 2020.
Na mwishowe, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ufaransa akafunguka:-
We’re fighting China in a battle for influence – and a battle over what system of government countries should see as their model,
And YES, wameanza kutekeleza mkakati huo mpya as reported by DW
France.png


Kwahiyo wameshaona propaganda peke yake hazitawasaidia kwa sababu Afrika na South America nchi ni maskini, na wanachotaka ni pesa, na sio porojo! Hata US wenyewe, hata kabla Trump hajaondoka madarakani wakaamua kubadili strategy kwa kuanzisha the so-called PROSPER AFRICA PLAN

PROSPER AFRICA.png


Hata hivyo, ni mambo mawili tu ndiyo yanaweza kuwasaidia USA kwa sasa!

1. Waafrika hatulipi madeni, na matokeo yake mabenki kutoka China hivi sasa yanatukazia kishenzi kwa sababu wanadai billions of dollars!

2. Hata China kwenyewe wameanza kuipinga Belt and Road Initiative ya China ambayo ilikusudia kuwekeza billions of dollars in Africa, Asia and South America! In fact, hata baadhi ya nchi za Ulaya na wenyewe, walimsaliti Mmarekani na kuanza kuchangamkia BRI ambayo ndiyo pia ingezaa Bagamoyo Port!!

Sasa Wachina wenyewe wameanza kuhoji rationale ya serikali yao kuwekeza billions of dollars nje ya China wakati China kwenyewe bado mambo yao sio mazuri kivile!! Ni kutokana na hilo, ndo maana nina mashaka ikiwa Bagamoyo Project nayo inaweza kuendelea kwa malengo yale yale!
 
Gazeti la Mwananchi toleo la leo limekuja na habari kuwa serikali ya Rais Samia imeanza kupitia upya na kuhakiki mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uliotiliwa shaka na hayati Magufuli kuwa una mashariti magumu yanayolenga kuuwa taifa kiuchumi na ni kichaa tu anayeweza kusaini na kukubaliana na mashariti hayo.

Ikumbukwe waziri aliyetumbuliwa bwana Geofrey Mwambe alikanusha kuwa hakuna mkataba wowote wa bandari ya Bagamoyo na kwamba Magufuli alipotoshwa.

My take:
Serikali inahakiki mkataba upi tena wakati haujawahi kuwepo?

View attachment 2084598
Hii bandari ni muhimu sana
.Magufuli iliipiga chini lakini Samia ana maslahi nayo.Hii ndio Tanzania

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Mchina amejenga SGR Kenya si uende ukawaulize amewajengea kwa shs ngapi na kwa ubora gani?
Nikaulize nini?!

Watu tumeijadili sana hiyo SGR ya Kenya tangu zama za JK! It's very unfortunately JF wali-delete akaunti yangu ambayo kwenye moja ya mijadala nilisema wazi kwamba hii SGR ya Kenya lazima itakuja kuwa-backfire kwa sababu ambacho walifanya Kenya ni haraka harakaya kutaka kutupiga bao Tanzania ili hatimae azivute Rwanda, Uganda na Burundi ziende upande wake kupitia kile ambacho kilijulikana kama Coalition of Willings ambayo mataifa tajwa hapo juu yalianza kuitenga TZ!

Watu wa wakati ule wala hawakuwa na pressure... huku Mzee wa Msoga kule Membe, wote watalaamu wa diplomasia, unatarajia nini!! Siku JK alipovunja ukimya, na kwenda bungeni kuichana Coalition of Willings, ndipo PK na Kenyatta wakajua Mkwere kawa-mind, na kilichofuata ni Kenyatta kumtuma Bi Amina Mohamed, Kenyan Foreign Minister kuja Bongo kuweka mambo sawa:-
In a 'From Nairobi with Love' scenario, Kenyan Foreign Minister Amina Mohamed jetted into Dar es Salaam yesterday and convened a news conference in which she read her government's support of Mr Kikwete's speech.
Kufumba na kufumbua, Coalition of Willings ikafa kibudu, Rwanda, Burundi na Uganda wakarudi Tanzania

Na hapa chini kinaripotiwa kikao cha kwanza baada ya CoW kukatwa kichwa kimya kimya...
The initiative on the Central Corridor has brought Tanzania and Rwanda closer. It is a departure from when Rwanda, Uganda, and Kenya came together to fast track the integration projects and speculation swarmed that they were moving to sideline other member countries especially Tanzania and Burundi.

Presidents Paul Kagame, the Tanzanian President Kikwete, and Burundian leader Pierre Nkurunziza and other top government officials from the region on March 26 attended the first ever Central Corridor heads of state meeting in Dar es Salaam.
Hiyo ilikuwa ni March 2015, kikafuata kikao cha Head of States:-
EAC.png


Hapo, utaona Kenyatta hayupo baada ya kuwa ameachwa kwenye mataa, na ilipofika July ukasainiwa mkataba wa
Dar Es Salaam-Isaka-Kigali/Keza-Musongati (DIKKM) Railway Project
DIKKM Railway.png


Alipoingia Magu, akaja kuizika Kenya rasmi ambayo hata hivyo tayari ilishajifia kutokana na "uroho" wao!!

So, hizo projects zijaanza kuzifuatilia leo wala jana!!!
 
usipokuwa signed utakuwa ni mkataba au ni void contract and what is the proposed contract?
Mikataba ina hatua nyingi. Tatizo Watanzania wanaamini mkataba ulisainiwa kabisa, kitu ambacho sio kweli. Inawezekana ulikuwa katika hatua za mwisho, na JPM akaona sio mzuri akaamua kuchomoa; Mama anasema wanauhakiki tena, sioni cha ajabu hapa.

Ingekuwa mkataba umesainiwa kama wanavyosema watu, isingekuwa rahisi kuchomoka.
 
Mikataba ina hatua nyingi. Tatizo Watanzania wanaamini mkataba ulisainiwa kabisa, kitu ambacho sio kweli. Inawezekana ulikuwa katika hatua za mwisho, na JPM akaona sio mzuri akaamua kuchomoa; Mama anasema wanauhakiki tena, sioni cha ajabu hapa.

Ingekuwa mkataba umesainiwa kama wanavyosema watu, isingekuwa rahisi kuchomoka.
Duh
 
Back
Top Bottom