Serikali imeahidi shirika la Fedha Duniani, IMF kwamba itaanza kutoa takwimu za wagonjwa wa covid na vifo kila wiki kuanzia mwishoni mwa Septemba

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,433
17,070
Serikali ya Tanzania imeahidi shirika la fedha Duniani la IMF kwamba itaanza kutoa takwimu za vifo na maambukizi mapya ya ugonjwa wa covid 19 kila wiki kuanzia mwishoni mwa mwezi Septemba 2021 kama masharti mojawapo ya kupewa mkopo.

Serikali iliomba mkopo wa zaidi ya Dollar Milioni 500 za Marekani ama zaidi ya Trilioni 1.3 za Kitanzania ili kukabiliana na athari za ujonjwa wa Covid 19.

Mojawapo ya sababu kubwa ya kuomba mkopo huo pia ni kwa ajili ya kununulia vifaa tiba, chanjo, vipimo na vitu vinavyofanana na hivyo.

20210918_002407.jpg


20210918_002412.jpg


20210918_002415.jpg
 
Mkubwa ulimwenguni ni mkubwa tu, hilo CCM lazima walielewe na huwezi kumpachika jina baya mdau wako wa maendeleo.
 
"Minister "of Economy"?

Hii wizara ni mpya Tanzania. Ile ya Planning and Finance ilishakufa au ndio ujuha na ulimbukeni tu anaojulikana kuwa nao waziri mwenyewe?

Kajiundia wizara mpya mwenyewe?
 
US Foreign Affairs

Tanzania’s Iron Lady: One Day Rule of Samia is Better than 100 Years of Magufuli​


Finally, Tanzanian people can start hoping for the good days ahead. The country is all set to follow a scientific path to pursue COVID-19 vaccinations amid the new President Samia Suluhu’s heroics.

The Samia Suluhu COVID committee, formed by the incumbent president in April, has started yielding positive results. It advised the government not only to acquire vaccines for the masses but also to join COVAX. This UN-led initiative is on a mission to vaccinate the world.

The committee’s chairman, Prof. Said Aboud, recommended various policy options in Dar es Salaam to the government in the presence of permanent secretaries and their deputies. The hopes are high that Tanzania would procure COVID-19 vaccines to curb the virus.

This is a significant development for the people of the African country, as the events unfolded unexpectedly after the death of the COVID-skeptic president of the country in March.

The developments are also interesting in the way that Samia Suluhu also served as a Vice-President during President John Magufuli’s tenure. Yet, the government took no action to stop COVID at that time.



Samia Suluhu’s attitude towards the scientific culture will help the country evade the virus and develop a positive national narrative not to rely on superstitions or non-scientific voices anymore.

The Samia Suluhu COVID committee has recommended the use of vaccines for people to achieve herd immunity.

Not only this, but the committee has also encouraged the government to publicize the data on deaths and infectious people.

If accepted by the government, this strategy will also be a decider for Tanzania. The data will help the government determine the efficacy rate of vaccines and their impact on reducing COVID-related deaths.



This realization by the Samia Suluhu COVID committee overlaps with Biden’s announcement of sending 80 million vaccines to the world to contain the spread of the virus.

As Vice President Kamala Harris has already extended her support to Samia’s government, it is time for the Samia administration to acquire as many vaccines out of these 80 million as possible through diplomacy.

Then comes the importance of COVAX in today’s vaccination setup. As Tanzania will be one of the African countries affected by the export ban of India, joining COVAX and acquiring vaccines from other countries is the only option because the Biden administration will be sharing these vaccines through COVAX.


As the Tanzanian government is not bound to comply with all the recommendations proposed by the committee, it remains on President Samia Suluhu how aggressive she is in the actual implementation of these recommendations.

Seeing the pro-vaccination attitude of the government, it is expected that the incumbents will obey all the recommendations immediately so that they do not miss the 80 million vaccination opportunity.
 
17 Sept 2021
New York, Umoja wa Mataifa


Mkopo wa Dharura wa IMF / FUKO LA FEDHA DUNIANI kukabiliana na athari za Covid -19

Tanzania yaahidi kutumia mkopo huo kujenga viwanda vidogo 7 vya kutengeneza hewa tiba ya oksijeni


, mahojiano na matukio kuhusu masuala ya kibinadamu, SDGs na mengine mengi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Ni "Habari za UN" kutoka makao makuu ya UN New York City.
Source : Habari za UN
 
Halafu baadae pongezi zote zitaenda kwa Samia, kumbe ni masharti ya mkopo.

Ila umasikini wa fikra ni mbaya sana, nchi inarasilimali za kutosha ila tuna serikali omba omba. Kwa rasilimali tulizonazo kama tungepata viongozi wazuri na waadilifu, tungekuwa mbali sana.

Serikali isiyo na maono, inachojua nikutembeza bakuli na kukandamiza watu wake. Ni aibu.
 
Back
Top Bottom