Serikali imarisheni hili kwenye checkpoints na entry za nchi yetu

khumbu_peresa

Member
Feb 11, 2021
28
105
Unjani.

Naandika kama mdau wa sekta ya usafirishaji watu na mizigo ,na napenda kutoa mawazo chanya kwenye kuisaidia serikali kwenye kipindi hiki cha janga la corona.

Siungani na wananchi ambao wao kazi yao ni kuilaumu serikali kwenye janga hili la corona.,mara serikali itangaze kuna corona',mara serikali vile."

Pamoja kama nchi hatuna haja ya kumlaumu Rais wa nchi yetu His Excellency Dr Magufuli hata kidogo, kama Taifa tunapitia kipindi kigumu kote bara na visiwani maana tumepoteza prominent leaders.

Twende kwenye mada.

Nimeobserve kule Airports,hasa Kilimanjaro, Zanzibar na Julius Nyerere International Airport. Hizi ni Airport zinazopokea ndege za kimataifa, which means ziko kwenye high possibility ya kuwa exposed na ugonjwa wa corona since zinapokea abiria toka mataifa ya nnje.

Uhalisia na nimeuona ,na naomba vyombo vya usalama vilivyopo pale airport hasa TISS wanaposcan incoming passengers basi wawe wanashirikiana na mamlaka za afya pale airport (Port Health) kwenye ku scan afya za hawa abiria wanaowasili kutoka nnje ya nchi.

Utaratibu uliopo sasa hautoshi kukabiliana na janga la corona.

Utaratibu wa sasa,mgeni anawasili toka ulaya pale terminal three anawekewa thermometer tu kusoma joto..likiwa normal basi anaingia ndani ya nchi bila kumchunguza hata background check ya afya yake for the past 14 days.

Rais magufuli alisema,Tanzania haina corona lakini hawa watu waliotoka nnje ndio wametuletea kirusi kipya cha corona

Yuko sahihi, kimeletwa sababu hakuna intensive measures pale kwenye checkpoints zetu za kuingia ndani ya nchi (boarders).

Tunaruhusu tu watu kuingia, na watu wataingia ma watakuja Tanzania sababu sisi ni afadhali kwenye corona,we are not free from.corona but atleast "

So kila mtu atakuja Tanzania akiamini huku ni bora kushinda marekani na ulaya...so tumeweka mpango mkakati gani pale mipakani Horohoro, Namanga, Makonde etc?

Kwa airport entry naomba wizara ya afya iweke utaratibu ufuatao:

1. Kuwe na sharti la lazima la mashirika ya ndege yanayoleta abiria toka nnje ya nchi kujaza "online surveillance form", masaa au siku moja kabla hawajasafiri.

Kuwe na link kabisa toka "MOH" data zote ziwe zinaenda huko,surveillance ijikite kwenye kumuuliza abiria historia ya afya yake.

Ametembelea nchi zipi kwa siku 14 mpaka 30 zilizopita, kama katoka kwenye zile nchi zenye red dots basi tunaanza kuwa alerted mapema.

Kenya wana huu Utaratibu na nchi zingine za Ulaya.

2. Kuwe na sharti la lazima la abiria wanaokuja Tanzania wawe wamepima kipimo cha corona PCR method na kupewa cheti kinachothibitisha kuwa yuko NEGATIVE..na hiko cheti kiwe effective ndani ya siku 4-5 toka apime.

Mfano kama kapima tarehe 14 February, basi Asafiri ndani ya siku tatu au nne toka apime, yaani asafiri tarehe 15,16,17 au 18, baada ya hapo kiwe kime expiry.

Akitaka kusafiri tarehe 19 Feb basi akapime tena.

Nimeona juzi,mtu akitaka kwenda ulaya hasa Amsterdam kutokea dar, anatakiwa awe Amepima corona toka maabara ya taifa pale mabibo pia akiwa pale airport anatakiwa apime tena antigen test ya corona masaa matatu kabla hajapanda ndege kinyume na hapo hawezi kuingia Amsterdam.

Basi na sisi tuchukue hizi taadhari na wizara ya afya ijikite kwenye strict measures za ku trace hizi afya za waingiaji ndani ya nchi.

Sawa hatufungi nchi, acha waje, lakini Je tunawa deep screen afya zao?

Maana maafisa wa mipakani na viwanja vya ndege hawajali hili..wao ukilipa entry fees,na ukilipa maafisa uhamiaji pale mpakani wanakufungulia tu geti Ingia Tanzania, no one gives a sh**t about afya za hawa waingiaji nda ni.

UTARATIBU ULIVYO SASA
Abiria wanakuja na Egypt Air, au Swiss Air wanashuka pale International arrival, wanakutana na maafisa wa afya, wanawapima joto na thermometer, likiwa la kawaida 36.5 nyuzi za centigrade wanakuachia uende immigration ujaze entry form baaasi. Kazi yao imeishia hapo.

Ukiwa na joto limezidi 36.5 basi watakuweka pembeni kukwambia tulia joto lishuke, likishuka wanakuachia uende mbele, likiwa juu wanakupa panadol then off you go, but nobody asks about their health! Wametoka wapi for the past 14 days kabla hawajaja Tanzania. Wametembelea nchi zipi?

Sasa Mhe Rais wa JMT Pole na majukumu lakini ni wakati sahihi kuwekeza kwenye sekta ya afya hasa kwenye mipaka yetu na airports zetu, mtu kabla hajaja Tanzania awe kashajaza surveillance online form atuambie katembelea nchi zipi.

Akija aje na valid covid certificate ambayo amefanya kipindi cha karibuni (recent).

Above all, ikiwa inahitajika kwa usalama wa taifa letu basi kuwe na Centre pale airports na mipakani ya maafisa afya wawe wanapima up ya hawa arrivals na incoming passengers both mipakani na kwenye entry points zingne waambiwe tu costs ya kipimo kabla hawajaja wakifika tunapima upya. Wakiwa na maambukizi wasiingie Tanzania au walipie karantini yao hotelin.

Bye for now.

Mzalendo.

"UMOJA wetu, ndo NGUZO YETU"

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Mlikuwa na karibu mwaka mzima mnaambiwa hivyo mkawa mnakataa ati corona hakuna, leo baada ya mutants/variants kuibuka ati mnaanza haya. Kazi ipo. Kwa taarifa yako hata hiki ki-variant kinachotesa sasa wala hakieleweki. Mmekaa kupima, mmekataa barakoa na labda hata hiyo vaccine ikija wala haitajua ni kirusi gani! Anzeni tena kupima
 
Unazungumzia Corona ipi wakati Tanzania Corona iliondolewa kwa maombi ya siku tatu? Wanawawekea tu thermometer kwa sababu Tanzania haina Corona. Wewe nawe, acha ushamba buana!

Screenshot_20210122_113757.jpg
 
Mlikuwa na karibu mwaka mzima mnaambiwa hivyo mkawa mnakataa ati corona hakuna, leo baada ya mutants/variants kuibuka ati mnaanza haya. Kazi ipo. Kwa taarifa yako hata hiki ki-variant kinachotesa sasa wala hakieleweki. Mmekaa kupima, mmekataa barakoa na labda hata hiyo vaccine ikija wala haitajua ni kirusi gani! Anzeni tena kupima
Halafu kumbuka Tanzania imekataa chanjo.Kirusi kikiachwa kupigwa vita huwa kinakuwa na uwanja mpana sana wa kufanya mutations na kuleta variants mpya.Yaani Tanzania inakuja kuwa center ya dunia ya kuzalisha variants wapya wa Corona.Kama dunia itafanya kosa na kuicha Tanzania na sera yake ya kupuuza Corona pamoja na kupuuza chanjo maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa inazalisha variants mpya wa Corona na kuwasambaza duniani kote.

Kwa hiyo dunia nzima itakuwa in trouble na itakuwa inahangaika kutengeneza chanjo mpya kila siku kupambana na variants mpya wanaozalishwa Tanzania!.Dunia inapaswa iidhibiti Tanzania kwa gharama yoyote ile.
 
Ujinga ni pale mnapoamini Tanzania ni salama saaaaaaaana kuliko nchi zingine! Pole sana aisee. Laiti ungejua hali ilivyo Tanzania sasa hivi
 
... hayo yote yalishashauriwa since then! Lakini wapi?
 
Unjani.

Naandika kama mdau wa sekta ya usafirishaji watu na mizigo ,na napenda kutoa mawazo chanya kwenye kuisaidia serikali kwenye kipindi hiki cha janga la corona.

Siungani na wananchi ambao wao kazi yao ni kuilaumu serikali kwenye janga hili la corona.,mara serikali itangaze kuna corona',mara serikali vile."

Pamoja kama nchi hatuna haja ya kumlaumu Rais wa nchi yetu His Excellency Dr Magufuli hata kidogo, kama Taifa tunapitia kipindi kigumu kote bara na visiwani maana tumepoteza prominent leaders.

Twende kwenye mada.

Nimeobserve kule Airports,hasa Kilimanjaro, Zanzibar na Julius Nyerere International Airport. Hizi ni Airport zinazopokea ndege za kimataifa, which means ziko kwenye high possibility ya kuwa exposed na ugonjwa wa corona since zinapokea abiria toka mataifa ya nnje.

Uhalisia na nimeuona ,na naomba vyombo vya usalama vilivyopo pale airport hasa TISS wanaposcan incoming passengers basi wawe wanashirikiana na mamlaka za afya pale airport (Port Health) kwenye ku scan afya za hawa abiria wanaowasili kutoka nnje ya nchi.

Utaratibu uliopo sasa hautoshi kukabiliana na janga la corona.

Utaratibu wa sasa,mgeni anawasili toka ulaya pale terminal three anawekewa thermometer tu kusoma joto..likiwa normal basi anaingia ndani ya nchi bila kumchunguza hata background check ya afya yake for the past 14 days.

Rais magufuli alisema,Tanzania haina corona lakini hawa watu waliotoka nnje ndio wametuletea kirusi kipya cha corona

Yuko sahihi, kimeletwa sababu hakuna intensive measures pale kwenye checkpoints zetu za kuingia ndani ya nchi (boarders).

Tunaruhusu tu watu kuingia, na watu wataingia ma watakuja Tanzania sababu sisi ni afadhali kwenye corona,we are not free from.corona but atleast "

So kila mtu atakuja Tanzania akiamini huku ni bora kushinda marekani na ulaya...so tumeweka mpango mkakati gani pale mipakani Horohoro, Namanga, Makonde etc?

Kwa airport entry naomba wizara ya afya iweke utaratibu ufuatao:

1. Kuwe na sharti la lazima la mashirika ya ndege yanayoleta abiria toka nnje ya nchi kujaza "online surveillance form", masaa au siku moja kabla hawajasafiri.

Kuwe na link kabisa toka "MOH" data zote ziwe zinaenda huko,surveillance ijikite kwenye kumuuliza abiria historia ya afya yake.

Ametembelea nchi zipi kwa siku 14 mpaka 30 zilizopita, kama katoka kwenye zile nchi zenye red dots basi tunaanza kuwa alerted mapema.

Kenya wana huu Utaratibu na nchi zingine za Ulaya.

2. Kuwe na sharti la lazima la abiria wanaokuja Tanzania wawe wamepima kipimo cha corona PCR method na kupewa cheti kinachothibitisha kuwa yuko NEGATIVE..na hiko cheti kiwe effective ndani ya siku 4-5 toka apime.

Mfano kama kapima tarehe 14 February, basi Asafiri ndani ya siku tatu au nne toka apime, yaani asafiri tarehe 15,16,17 au 18, baada ya hapo kiwe kime expiry.

Akitaka kusafiri tarehe 19 Feb basi akapime tena.

Nimeona juzi,mtu akitaka kwenda ulaya hasa Amsterdam kutokea dar, anatakiwa awe Amepima corona toka maabara ya taifa pale mabibo pia akiwa pale airport anatakiwa apime tena antigen test ya corona masaa matatu kabla hajapanda ndege kinyume na hapo hawezi kuingia Amsterdam.

Basi na sisi tuchukue hizi taadhari na wizara ya afya ijikite kwenye strict measures za ku trace hizi afya za waingiaji ndani ya nchi.

Sawa hatufungi nchi, acha waje, lakini Je tunawa deep screen afya zao?

Maana maafisa wa mipakani na viwanja vya ndege hawajali hili..wao ukilipa entry fees,na ukilipa maafisa uhamiaji pale mpakani wanakufungulia tu geti Ingia Tanzania, no one gives a sh**t about afya za hawa waingiaji nda ni.

UTARATIBU ULIVYO SASA
Abiria wanakuja na Egypt Air, au Swiss Air wanashuka pale International arrival, wanakutana na maafisa wa afya, wanawapima joto na thermometer, likiwa la kawaida 36.5 nyuzi za centigrade wanakuachia uende immigration ujaze entry form baaasi. Kazi yao imeishia hapo.

Ukiwa na joto limezidi 36.5 basi watakuweka pembeni kukwambia tulia joto lishuke, likishuka wanakuachia uende mbele, likiwa juu wanakupa panadol then off you go, but nobody asks about their health! Wametoka wapi for the past 14 days kabla hawajaja Tanzania. Wametembelea nchi zipi?

Sasa Mhe Rais wa JMT Pole na majukumu lakini ni wakati sahihi kuwekeza kwenye sekta ya afya hasa kwenye mipaka yetu na airports zetu, mtu kabla hajaja Tanzania awe kashajaza surveillance online form atuambie katembelea nchi zipi.

Akija aje na valid covid certificate ambayo amefanya kipindi cha karibuni (recent).

Above all, ikiwa inahitajika kwa usalama wa taifa letu basi kuwe na Centre pale airports na mipakani ya maafisa afya wawe wanapima up ya hawa arrivals na incoming passengers both mipakani na kwenye entry points zingne waambiwe tu costs ya kipimo kabla hawajaja wakifika tunapima upya. Wakiwa na maambukizi wasiingie Tanzania au walipie karantini yao hotelin.

Bye for now.

Mzalendo.

"UMOJA wetu, ndo NGUZO YETU"

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Je yule msafiri ambaye atatua kiwanja cha ndege bila hizo 'do's and dont's' afanywaje? Na usalama wa hao wanaowapokea katika hivyo viwanja (wanaoaminishwa kuwa hakuna corona) utakuwaje?
 
Back
Top Bottom