aibu ya ndege ni ndogo, aibu ya umeme je? ya maji je? ya dawa mahospitalini je? ya wanafunzi kufeli je?
Kwani kipimo ni ndege tu mzee au unapimaje uwezo wa serikali yako...tp mazembe inamajukumu gani yanayoifikia serikali ya tanzania..mashulea,hospitals,mabarabara,pension za baba ako, etc acha mawazo ya chadema na cuf embu jivue gamba
aibu ya ndege ni ndogo, aibu ya umeme je? ya maji je? ya dawa mahospitalini je? ya wanafunzi kufeli je?
AIBU KUBWA ZAIDI ni ile kuwa hata kiongozi wa nchi hajui chanzo cha umaskini wa watu wake na yeye anajiuliza tu....hajui kwanini watoto wanafeli na wala hajui kwanini mawaziri wanasaini mikataba feki