"WAKIENDELEA KUTUZUGA TUTAANIKA HATA USHAHIDI WA YULE MWANASHERIA ALIYEKWENDA KUBEBA MZIGO WA MZEE NJE YA NCHI NA KUUKABIDHI KWA WAHUSIKA NA JINSI WALIVYOKABIDHIWA".
Mimi nashikwa na hasira sana, yaani mijitu inakubali, na inaendelea kuimba CCM CCM mbona sisi ni wajinga kiasi hicho jamani??????????
cha bomoa nchi. hakuna wanachokijenga labda vitambi vyaoWatu tulishakuwa na hasira sana,na dawa ambyo mie niliona ni ya msingi ni kujiunga nao tu..
CCM Nambari one!Chama Chetu cha Mapinduzi chajenga Nchi..
Nini itakuwa nafasi ya Hosea,Mwanyika ,Mwakapugi et all?
Pinda anaweza kuandika historia ya kudhubutu?ama atakuwa sawa na JK na hotuba yake ya masaa matatu ambayo spika aliijibu kwa dk 3 na kuwa na maana kuliko masaa 3?
Hivi kuna hatua za kumchukulia EL? mbana kama sikusikia kitu kama hicho