Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,549
- 188,736
Hapa nipo nasubiri kuangalia mechi ya Simba Sc Vs TFF.
Maana mtani wangu nimemsubiri saa kumi na moja sijamuona.
Maana mtani wangu nimemsubiri saa kumi na moja sijamuona.
Hao wa wizara ndio niliowalenga.Samia hana mamlaka ya kufukuza watu wa TFF akijaribu kufanya hivyo FIFA itatuliga rungu, labda afukuze tu wa wizara ya habari na michezo.
Kwa muda huo wa saa 11 jioni kulikuwa na shughuli inaendelea uwanjani hapo ? Watu wametoka mikoani kuhudhuria mechi na wameisha panga ratiba tayari, mnafanyaje hivi, tena bila apology.TFF haina ubavu wa kuigomea Serikali. TFF haina viwanja, wenye viwanja ndio wameamua hivyo
Kanuni zinasema taarifa ya kuahirisha mechi zitolewe saa 24 kabla ya mechi. Kisheria Yanga wapo sahihi 100%Rais akitoa maagizo kwa waziri katika vikao vyake, kazi ya waziri ni kutekeleza kwa kushusha maagizo chini, sio lazima hadi rais aonyeshe ushahidi kwamba alimwagiza waziri
Kweli mkuuWalichofanya Yanga ni sahihi kabisa.
Good observation!Halafu mbona mechi ya Azam na Yanga ilisogezwa muda wa kuanza na Yanga mbona hamkugomea? taarifa ile nayo ilitolewa muda mchache kabla ya muda wa mechi kuanza.
TFF haina ubavu wa kuigomea Serikali. TFF haina viwanja, wenye viwanja ndio wameamua hivyo.
Hivi nyie Manyau FC mnajua hiyo mechi ilisogezwa mbele kwa kufuata utaratibu upi, au mnaongea tu?! Taarifa kuhusu kusogezwa mbele ilitolewa Tarehe 21/04 wakati mechi ilikuwa inachezwa tarehe 25/4!!Halafu mbona mechi ya Azam na Yanga ilisogezwa muda wa kuanza na Yanga mbona hamkugomea? taarifa ile nayo ilitolewa muda mchache kabla ya muda wa mechi kuanza.
TFF haina ubavu wa kuigomea Serikali. TFF haina viwanja, wenye viwanja ndio wameamua hivyo.
Sidhani kama atakuwa na la kujibu kwa haya uliyoyaandika.Hivi nyie Manyau FC mnajua hiyo mechi ilisogezwa mbele kwa kufuata utaratibu upi, au mnaongea tu?! Taarifa kuhusu kusogezwa mbele ilitolewa Tarehe 21/04 wakati mechi ilikuwa inachezwa tarehe 25/4!!
Sasa mnashindwa kuona tofauti hapo?!
Kwamba TFF haiwezi kuipinga serikali, sawa... lakini hiyo haiwezi kuwa justification ya kuvunja kanuni, na ndo maana wameamua kuahirisha hiyo mechi! Kama wapo sawa, kwanini basi wasingewapa Simba point 3 na badala yake wameamua kuahirisha mechi?