Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Serikali kwakuwa nyie ndio mmetajwa katika taarifa ya TFF kuwa mmeagiza mechi ya Simba na Yanga isogezwe mbele mpaka saa 1:00 usiku badala ya kuanza saa 11:00 jioni kama ilivyokuwa imepangwa awali, ni vema mkatoa maelezo kwa umma ili msije kuwaruka TFF ingawa nao hawakuwa makini kupokea maagizo hayo.
Na Raisi Samia kama agizo hili halina baraka zako, fukuza wahusika, na kama lina baraka zako, basi na wewe uombe radhi kwa niaba ya serikali yako.
Na Raisi Samia kama agizo hili halina baraka zako, fukuza wahusika, na kama lina baraka zako, basi na wewe uombe radhi kwa niaba ya serikali yako.