Serikali ilisema inakata tshs 1000 tu kwa nyumba za kawaida wamekata tshs 2000

Jamani tupate mrejesho kwa walionunua umeme mmekatwa ngapi? Tozo za Kodi ya nyumba jamani tuliambiwa Ni tshs 1000 Sasa nimekatwa tshs 2000 naambiwa Ni debt collected. Naona kazi imeanza, kwa staili hii unaweza katwa tena hivi shida Ni nini serikali yetuu...Zamani nilikuwa nawaombea Sana viongozi lkn from now naanza kuombea watu wanyonge tuu hawa viongozi siwaelewi yaan.
Inabidi itimie 12,000 kabla mwaka haujaisha na imebaki miezi 4 tu 😂😂😂
 
Nyumba ya kawaida kodi ilikuwa tunalipa 10000/
Sasa kwa sahv itakuwaje,itazidi hiyo 10000/

Ova
Aisee! Kwa hiyo kila unaponunua umeme unakatwa 1000! Haijalishi unanunua umeme wa shilingi ngapi!! Huu utakua sasa ni zaidi ya wizi!!

Kwa mwaka tutalipia shilingi ngapi sasa!!! Inasikitisha sana.
 
Jamani tupate mrejesho kwa walionunua umeme mmekatwa ngapi? Tozo za Kodi ya nyumba jamani tuliambiwa Ni tshs 1000 Sasa nimekatwa tshs 2000 naambiwa Ni debt collected. Naona kazi imeanza, kwa staili hii unaweza katwa tena hivi shida Ni nini serikali yetuu...Zamani nilikuwa nawaombea Sana viongozi lkn from now naanza kuombea watu wanyonge tuu hawa viongozi siwaelewi yaan.

Pole mkuu,, Katiba ikipitishwa everything will be fine.
 
Jamani tupate mrejesho kwa walionunua umeme mmekatwa ngapi? Tozo za Kodi ya nyumba jamani tuliambiwa Ni tshs 1000 Sasa nimekatwa tshs 2000 naambiwa Ni debt collected. Naona kazi imeanza, kwa staili hii unaweza katwa tena hivi shida Ni nini serikali yetuu...Zamani nilikuwa nawaombea Sana viongozi lkn from now naanza kuombea watu wanyonge tuu hawa viongozi siwaelewi yaan.
Maana yake mwezi huu huna deni endelea kui njoi

Umejiwekea hakiba mwezi mengine 2000 niez kadhaa umemaliza deni unakaa usubiri
 
Kama nyumba ina deni watakuwa wamewakamata watu sio mchezo dah hapo huenda ndio debit collected
 
Hii serikali imeshakua ya kihuni aisee wamekula buku mbili badala ya buku dadadeki
Polish_20210820_215536863.jpg
 
Aisee! Kwa hiyo kila unaponunua umeme unakatwa 1000! Haijalishi unanunua umeme wa shilingi ngapi!! Huu utakua sasa ni zaidi ya wizi!!

Kwa mwaka tutalipia shilingi ngapi sasa!!! Inasikitisha sana.

Kila mwezi wanakata buku kwa nyumba ya kawaida mzee, kama umepanga unalipa wewe apo mpangaji, mpangishaji aimuhusu mzee baba😁. Miezi 12=12000/=


Ndiyo mutambue katiba ni muhimu
 
Nikununua wa buku inakuwaje?
Ukinunua wa buku, buku jero na buku mbili unakataa

Wanakutumia SMS hii


Muamala umesitishwa. Pesa zako zimerudishwa kwenye akaunti yako ya Tigo Pesa Malipo ya Ankara Na: 43001663053 hayajafanikiwa.Kiasi cha fedha ni kidogo au sawa na deni unalodaiwa..TxnID: 45838933525
 
Kila mwezi wanakata buku kwa nyumba ya kawaida mzee, kama umepanga unalipa wewe apo mpangaji, mpangishaji aimuhusu mzee baba😁. Miezi 12=12000/=


Ndiyo mutambue katiba ni muhimu
Kwa hali hiyo sisi wenye mita zaidi ya moja kwenye jengo moja, huenda tukalipa zaidi ya hiyo elfu 12!

Ni vizuri wakatuwekea utaratibu mapema wa kuondokana na malipo ya kujirudia ndani ya jengo moja.
 
Back
Top Bottom