Sp what? Bygone are bygone? move foward.
Huo ndio ukweli AZAM TV kwa sasa inafanya vizuri sana hongera sana Tido mhando. TBC walikurupuka
Katekeleza kama alivyoagizwa na boss wake mpya ambaye ni checheme No. one. no issue here. Don't drum for Azam Tvwe nawe! v2 vingine hata kama vinakukera sio lazima u-comment. hv kuhusu hilo,kuna uongo gani kuhusu tido mhando in relation with hizo media alizozitaja mleta mada?
Kazi inayofanywa na Tido mhando Azam TV ni ya kutukuka hamna TV yenye coverage nzuri ya habari kama AZAM TV. Hata kwenye mkutano wa CCM Dodoma Azam ilikuwa kama ndio TV ya taifa. Hongera Tido mhando.
Kazi inayofanywa na Tido mhando Azam TV ni ya kutukuka hamna TV yenye coverage nzuri ya habari kama AZAM TV. Hata kwenye mkutano wa CCM Dodoma Azam ilikuwa kama ndio TV ya taifa. Hongera Tido mhando.
Kwa TBC ilikuwa/ingekuwa vigumu kupenyeza maono/utaalamu/ujuzi wake. Vichwa vingi vimejaa ujinga pale.
Angalia safu yake pale Azam TV wengi ni vijana anaowasuka kwa akili zake na mzee wa Charles Hillary aliyetokea TBC.
ITV miaka 20 sasa hawajeweza kufanya coverage kama ile. Alafu wanapewa tuzo ya Superbrand. Kweli kabisa jamani??????
Big up AzamTV. Tunasubiri Azam Mobile ituondelee adha ya 8mb.
hivi unaelewa unakiongea, kuondolewa na kutoongezewa mkataba ni sawa! Huu uwezo wetu wa kufikiri uko poa sana
Azam Mobile..???
Ahhhhh, huyu Mzee atakuwa amebakiza nini yaani anataka kushika vyote viwe Azam Azam Azam.... Sasa wataanza kutoa na Mume/Mke Azam...!! Yaani unaenda pale Unalipia Mke Azam, unaweka ndani... shida ya nini..!!! Piga kazi Baresa wa watu....!!!
BACK TANGANYIKA
Mapinduzi Gani? Vipindi vya dini zote vipo au ni vya Futurisha?