YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Masharti ya kupata passport inatakiwa tu kitambulisho cha uraia zingine zote mbwembwe za kusumbuana tu sijui barua ya mwaliko sijui nini ujinga mtupu. Kwani mtu hawezi kwenda nchi nyingine kutafuta fursa hata kama hana mwenyeji?
Ona huyu kijana Mtanzania mwenye mgahawa China akipiga kazi baada ya kuona fursa China. Uhamiaji acheni ubahili wa kutoa passport.
Ona huyu kijana Mtanzania mwenye mgahawa China akipiga kazi baada ya kuona fursa China. Uhamiaji acheni ubahili wa kutoa passport.