Serikali ikiri kuwa hakuna tena muda wa utendaji zadi ya kusubiri 2015 ,na kuachia nchi kuliko hasar

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Rais aliwahi walaumu CDM kuwa wanamkipu busy kwa kuibua mabomba ili awe busy yajibu, na akajisifu kuwa meshtukia na hatokuwa akijibu.Ila kwa jinsi matukio yamekuwa mengi,kuanzia richmond,EPA, uchaguzi wa Igunga, kubadili mawaziri, wakuu wa wilaya, wa mikoa , majaji, mabalozi kila mara, uchaguzi wa arumeru,migomo ,katiba, kuvunjika kwa ngome kuu ya ubalozi wa nyumba 10 na wakuu wa wilaya(wanajeshi na makada kupungua )etc ,kujivua gamba ni wazi kuwa kwa miaka 2 hakuna kikubwa kilichofanyika na hata ile dhan ya kipindi cha pili cha rais kumalizia aliyoyaanza haina maana.Kwani sasa hivi ni hasara tuu na matumizi ya kuanza upya na wateuzi wapya pamoja na wizi mpya.

Sasa tishio la CDM na kugawanyika kwa CCM kupo wazi CCM km chama na wabunge wake km watu binafsi wanaweweseka kukomboa nchi na majimbo yao binafsi.wabunge wana mwendo mrefu wa kupambana ndani yachama na ktk jimbo na jinamizi CDM.Wanapata shida kuamua kubaki ktk chama wakihofia walichowekeza ktk chama na adhabu ya chama.Muda umekwenda mtihani upo karibu sijui km kuna nafasi ya utendaji tena.Sijui CCM wanasemaje?Au wasubiri hukumu ya wananchi?Kikwete aliyeahidi madaraja na vivuko mpaka ktk mifereji hana cha kupoteza labda CDM wakichukua nchi kwani mahakama itamhusu.
Kama ndio hakuna utendaji tena na wanahisi wataachia nchi kwanini wasiachie sasa hivi?
 
Mh. Nape aje atuambie kuna linalowezekana tena muda huu, pia akituambia km kuna lililofanyika.Ni vizuri watu wapate pa kuanzia jua mdhara ya siasa na pengine katiba mpya isaidie jenga misingi ya kuweka sheria ndogondogo zitakazookoa taifa kutoka madhara ya siasa.Hasa ktk mwendo km huuu.Tuwe na watendaji walitayari fanya kazi wakati siasa sikiendelea na watakaofanya kazi na kila chama kinachoingia.
 
sasa suala za vurugu zenji nalo limeingilia mambo.. serikali itakuwa busy for sometime.Tuone km kutakuwa na utendaji tena.
 
mikutano mingi, then matatizo ya Zanzibar, then miaka inakata, CDM wapo busy na progressively wanaongeza kasi na diversity, CCM wanajikongongoja .Wakati ahdi kibao zipo mfukoni ishrara zinazidi kuwa wazi hakuna tena kazi za kimaendeleo.zaidi ya zile ambazo zinafadhiliwa na world bank, ADB na benk nyingine za rushwa ili wakamilishe yao.
 
Back
Top Bottom