Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,074
Baada ya aliyekuwa kiongozi wa Venezuela Hayati Hugo Chaves kuchukua njia zote za kiuchumi na Serikali kuamua kufanya biashara kama kuuza mafuta na makampuni ya ujenzi kufanywa na Serikali uchumi wa nchi hiyo mbali na kuwa na utajiri mkubwa wa mafuta umeanguka kabisa
Hapa Tanzania ni dalili wazi tunafuata njia hiyo hiyo ya Venezuela kwani kwa mara ya Kwanza kwa kipindi cha miaka 30 hatujawahi kuona foleni au uhaba wa mafuta hapa nchini lakini kwasasa tunaanza kuona ukosefu wa mafuta ya diesel na petrol ukijitokeza sehemu mbali mbali hapa nchini.
Tayari sekta ya Ujenzi hapa nchini imeathirika kwa sehemu kubwa baada ya sehemu ya kazi kufanyika na serikali kupitia JKT Suma.
Huko kanda ya ziwa tumesikia Meli ya Mv Victoria ikianza kazi kwa kutoa ofa ya kusafirisha mizigo bure je hao wasafirishaji wenye magariwatalipaje kodi kama kazi zao zitakwama.
Serikali iangalie sekta binafsi kwa makini kuanguka kwa Sekta Binafsi ni anguko la kiuchumi.
Hapa Tanzania ni dalili wazi tunafuata njia hiyo hiyo ya Venezuela kwani kwa mara ya Kwanza kwa kipindi cha miaka 30 hatujawahi kuona foleni au uhaba wa mafuta hapa nchini lakini kwasasa tunaanza kuona ukosefu wa mafuta ya diesel na petrol ukijitokeza sehemu mbali mbali hapa nchini.
Tayari sekta ya Ujenzi hapa nchini imeathirika kwa sehemu kubwa baada ya sehemu ya kazi kufanyika na serikali kupitia JKT Suma.
Huko kanda ya ziwa tumesikia Meli ya Mv Victoria ikianza kazi kwa kutoa ofa ya kusafirisha mizigo bure je hao wasafirishaji wenye magariwatalipaje kodi kama kazi zao zitakwama.
Serikali iangalie sekta binafsi kwa makini kuanguka kwa Sekta Binafsi ni anguko la kiuchumi.