Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,136
- 27,079
Tatizo wabongo mnapenda sana sherehe na kujionyesha. Fedha mnapata kwa taabu sana ila ukiibahatisha unasahau taabu za jana unajifanya mfalme na matumizi ya hovyo kama masherehe ili ujichukulie maujiko. Acha wenye maukumbi wawapige na vitu vizito utosini