Serikali iingilie kati Wizi unaofanyika kwenye Kumbi za Sherehe. Ni Wizi Mkubwa sana.....

Tatizo wabongo mnapenda sana sherehe na kujionyesha. Fedha mnapata kwa taabu sana ila ukiibahatisha unasahau taabu za jana unajifanya mfalme na matumizi ya hovyo kama masherehe ili ujichukulie maujiko. Acha wenye maukumbi wawapige na vitu vizito utosini
 
Ndio maana unaweza kushangaa viongozi wanatoa matamko kama benki zipunguze riba au wakati wa Ramadhani unaona matamko lukuki ya viongozi kila kona yakiwaamuru wafanyabiashara wasipandishe bei za bidhaa.

Raia wengi na wanaowaongoza hawajui kanuni za uchumi wa soko huria.
Ni lazima ukodi huo ukumbi unaousema wa tabata? Why usiende kumbi zingine?

Huo ukumbi umeweka masharti yake. Kama mtu yanakukwaza. Unaachana nao unaenda kodi kwingine..
 
Mlaumu mwenye tukio kwa kubali vigezo na masharti ya huo ukumbi, hakulazimishwa, aliuchukua mwenyewe kwa ridhaa yake.
Sijakodi nimehudhiria ka mwalikwa and I noticed it, mie nimezoea kumbi classic ka akemi, primerose, na nyinginezo nzuri tofauti na huko tabata na athari za vitu vyao ku force kufanya kila kitu na madhara yake.
N. B mbona point yangu Iko clear na watu mna force sijui Kodi kumbi nyingine why force eeh
 
Sijakodi nimehudhiria ka mwalikwa and I noticed it, mie nimezoea kumbi classic ka akemi, primerose, na nyinginezo nzuri tofauti na huko tabata na athari za vitu vyao ku force kufanya kila kitu na madhara yake.
N. B mbona point yangu Iko clear na watu mna force sijui Kodi kumbi nyingine why force eeh

Mimi ninachoshangaa mtu kulalamika huduma ambayo hujalazimishwa kuinunua hapo..

Biashara za starehe ni biashara huria.. mfano hata chakula kuna hotel ama migahawa inauza bufee tu . Hata kama unataka kula yai tu. Ni lazima ulipie bei ya bufee.. maana utaratibu wao hawauzi yai peke yake. Maana wao wanataka faida.

Hao wenye ukumbi wamewekeza hela zao nyingi na pengine ni mikopo.. sasa ili hela irudi haraka wanaweka masharti yanayowapa faida nzuri. Mtu mwenye akili unaachana na ukumbi wenye masharti ambayo huyapendi na unaenda tafuta ukumbi unaokufaa na ambao una masharti unayoyaweza..

Ila kulazimisha upewe ukumbi kwa kukataa masharti yao sio sahihi.. maana wale hawajakujengea wewe peke yako ukumbi.... watakaokubali masharti ndio wateja wanaowataka
 
Mimi ninachoshangaa mtu kulalamika huduma ambayo hujalazimishwa kuinunua hapo..

Biashara za starehe ni biashara huria.. mfano hata chakula kuna hotel ama migahawa inauza bufee tu . Hata kama unataka kula yai tu. Ni lazima ulipie bei ya bufee.. maana utaratibu wao hawauzi yai peke yake. Maana wao wanataka faida.

Hao wenye ukumbi wamewekeza hela zao nyingi na pengine ni mikopo.. sasa ili hela irudi haraka wanaweka masharti yanayowapa faida nzuri. Mtu mwenye akili unaachana na ukumbi wenye masharti ambayo huyapendi na unaenda tafuta ukumbi unaokufaa na ambao una masharti unayoyaweza..

Ila kulazimisha upewe ukumbi kwa kukataa masharti yao sio sahihi.. maana wale hawajakujengea wewe peke yako ukumbi.... watakaokubali masharti ndio wateja wanaowataka
Bandiko refu nadhani hujanielewa concern yangu kabisa na wengi hamtaki kuelewa mko na soko huria tu soko huria kah.
Jifunzeni kuelewa mada ka mtihani mngepata sifuri
 
Umelazimishwa kufanya sherehe? Je ni matumizi muhimu au kupenda anasa na kujionyesha ndo kunawagharimu hivyo?

Hakuna cha serikali kuingilia kati. Kama huna hela acha tamaa. Nenda ukafunge ndoa na sherehe andaa kwenu kwa gharama unayoimudu.
Siku dada yako akiachika ukafukuzwa hapo kwa shemeji yako ndo utayajua maisha vizuri. Kwa sasa kwa kuwa mmeolewa hapo unakula,kunya na kulala bure huwezi elewa.
 
Mimi ninachoshangaa mtu kulalamika huduma ambayo hujalazimishwa kuinunua hapo..

Biashara za starehe ni biashara huria.. mfano hata chakula kuna hotel ama migahawa inauza bufee tu . Hata kama unataka kula yai tu. Ni lazima ulipie bei ya bufee.. maana utaratibu wao hawauzi yai peke yake. Maana wao wanataka faida.

Hao wenye ukumbi wamewekeza hela zao nyingi na pengine ni mikopo.. sasa ili hela irudi haraka wanaweka masharti yanayowapa faida nzuri. Mtu mwenye akili unaachana na ukumbi wenye masharti ambayo huyapendi na unaenda tafuta ukumbi unaokufaa na ambao una masharti unayoyaweza..

Ila kulazimisha upewe ukumbi kwa kukataa masharti yao sio sahihi.. maana wale hawajakujengea wewe peke yako ukumbi.... watakaokubali masharti ndio wateja wanaowataka
Siku dada yako akiachika ukafukuzwa hapo kwa shemeji yako ndo utayajua maisha vizuri. Kwa sasa kwa kuwa mmeolewa hapo unakula,kunya na kulala bure huwezi elewa.
 
Siku dada yako akiachika ukafukuzwa hapo kwa shemeji yako ndo utayajua maisha vizuri. Kwa sasa kwa kuwa mmeolewa hapo unakula,kunya na kulala bure huwezi elewa.

Kenge wewe. Mimi nina uwezo wa kukufuga na ukoo wako wote. Siyo wa kulalamika lalamika eti gharama ziangaliwe na serikali.

Kama huna jeuri ya kulipia gharama hizo achana na tamaa za kijinga.
 
Wabongo acheni kulialia na kulalamika

We ukiona kama kuna kitu hakikufai achana nacho

Kama mnaona sherehe ukumbini gharama,fanyieni nyumbani au kwenye ma Hall
Ya kawaida,msipende kuwa watumwa wa kulalamika

Ova
 
Kenge wewe. Mimi nina uwezo wa kukufuga na ukoo wako wote. Siyo wa kulalamika lalamika eti gharama ziangaliwe na serikali.

Kama huna jeuri ya kulipia gharama hizo achana na tamaa za kijinga.
Siku dada yako akiachika ukafukuzwa hapo kwa shemeji yako ndo utayajua maisha vizuri. Kwa sasa kwa kuwa mmeolewa hapo unakula,kunya na kulala bure huwezi elewa.

We mtegemee tu dada yako ukatikaji wake kiuno. Na shemeji yako akiomba kwako pia ....sijui
 
Mimi ninachoshangaa mtu kulalamika huduma ambayo hujalazimishwa kuinunua hapo..

Biashara za starehe ni biashara huria.. mfano hata chakula kuna hotel ama migahawa inauza bufee tu . Hata kama unataka kula yai tu. Ni lazima ulipie bei ya bufee.. maana utaratibu wao hawauzi yai peke yake. Maana wao wanataka faida.

Hao wenye ukumbi wamewekeza hela zao nyingi na pengine ni mikopo.. sasa ili hela irudi haraka wanaweka masharti yanayowapa faida nzuri. Mtu mwenye akili unaachana na ukumbi wenye masharti ambayo huyapendi na unaenda tafuta ukumbi unaokufaa na ambao una masharti unayoyaweza..

Ila kulazimisha upewe ukumbi kwa kukataa masharti yao sio sahihi.. maana wale hawajakujengea wewe peke yako ukumbi.... watakaokubali masharti ndio wateja wanaowataka
Kumbi zote ziwe na nakala ya Ilani
 
umelazimishwa hutaki si uende hata cocobeach mnataka ufahari wa harusi pesa za kuunga mwenye ukumbi ana hiari sio umpangie
 
Back
Top Bottom