Serikali iingilie kati Wizi unaofanyika kwenye Kumbi za Sherehe. Ni Wizi Mkubwa sana.....

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,356
11,502
Hizi bei na kulazimisha ukichukua Ukumbi wao lazima utumie chakula,vinywaji na mapambo yao.

Huu ni wizi. Bei wanazoweka kwa mambo hayo ni kubwa sana kwa makusudi kwa kujua huna namna isipokuwa kufuata wanachotaka. Wanatengeneza faida kubwa sana kiwizi.

Huu ni Ukumbi mmoja upo Tabata nmekutana nao wakati nikitafuta Ukumbi kwa ajili ya sherehe ya ndoa.

IMG_20211128_124758_903~2.jpg
 
Hafu wanaolazimisha misosi na decorations huwa wabovu hulisha watu vyakula vilivokaa mda mrefu, na huo ukumbi wa tabata naufahamu na watu huishia kuumwa matumbo.

Waweke options ulipie ukumbi mengine ujitaftie uwapendao
 
Watanzania uwezo wakifikiria unapungua daily Kuna baadhi ya vitu lazima viwe regulated na sio swala la kila mtu kuwa na ukumbi
Kwa hiyo na kumbi za sherehe ziwe za serikali?!! haaah, dunia nzima hakuna kitu kama hicho, ukishindwa gharama hiyo tafuta kwenye uwezo wako mbona zipo tu!!!
 
Hizi bei na kulazimisha ukichukua Ukumbi wao lazima utumie chakula,vinywaji na mapambo yao.

Huu ni wizi. Bei wanazoweka kwa mambo hayo ni kubwa sana kwa makusudi kwa kujua huna namna isipokuwa kufuata wanachotaka. Wanatengeneza faida kubwa sana kiwizi.

Huu ni Ukumbi mmoja upo Tabata nmekutana nao wakati nikitafuta Ukumbi kwa ajili ya sherehe ya ndoa.

View attachment 2026073
Kha Jaman ni nini hilo.
Ila na ninyi Kwani ni lazima mchague huo ukumbi tafuteni mwingine au kama vipi mfanyie nyumbani
 
Hizi bei na kulazimisha ukichukua Ukumbi wao lazima utumie chakula,vinywaji na mapambo yao.

Huu ni wizi. Bei wanazoweka kwa mambo hayo ni kubwa sana kwa makusudi kwa kujua huna namna isipokuwa kufuata wanachotaka. Wanatengeneza faida kubwa sana kiwizi.

Huu ni Ukumbi mmoja upo Tabata nmekutana nao wakati nikitafuta Ukumbi kwa ajili ya sherehe ya ndoa.

View attachment 2026073
Wanalipa VAT tena kwa hiari usiwaguse.
 
Kwa hiyo na kumbi za sherehe ziwe za serikali?!!haaah, dunia nzima hakuna kitu kama hicho, ukishindwa gharama hiyo tafuta kwenye uwezo wako mbona zipo tu!!!
Don't miss the point bwashee, regulations zipo as long as serikali itaona kuna ulazima. Ndiyo maana kuna kipengele hapo kimeandikwa "muda wa kufanya sherehe ni saa 6:00 usiku kwa mujibu wa sheria za Halmashauri za miji". Kama serikali haihusiki mbona Halmashauri/Municipal zimeweka hizo sheria?
 
Kwa hiyo na kumbi za sherehe ziwe za serikali?!!haaah, dunia nzima hakuna kitu kama hicho, ukishindwa gharama hiyo tafuta kwenye uwezo wako mbona zipo tu!!!
Lazima ziwe regulated watoe huduma kulingana na thamani ya huduma wanazotoa. Yani mtu utoe huduma kulingana na gharama, haiwezekani vitu viwe vulululu vulululu tu
 
Don't miss the point bwashee, regulations zipo as long as serikali itaona kuna ulazima. Ndiyo maana kuna kipengele hapo kimeandikwa "muda wa kufanya sherehe ni saa 6:00 usiku kwa mujibu wa sheria za Halmashauri za miji". Kama serikali haihusiki mbona Halmashauri/Municipal zimeweka hizo sheria?
Asante kwa ufafanuzi mzuri
 
Don't miss the point bwashee, regulations zipo as long as serikali itaona kuna ulazima. Ndiyo maana kuna kipengele hapo kimeandikwa "muda wa kufanya sherehe ni saa 6:00 usiku kwa mujibu wa sheria za Halmashauri za miji". Kama serikali haihusiki mbona Halmashauri/Municipal zimeweka hizo sheria?

Yaani regulations za time unataka kufananisha na price capping na procurement ya vitu vyako vya harusi ? Seriously serikali iweke masharti utavyompata mc, mziki, upambaji na vyakula na magari plus picha..nchi ngumu hii kwa kweli
 
Kwa hiyo mnampangia mtu na ukumbi wake huo ni uchawi uliopitiliza ambao unaelekea kuwa shetani Sasa.
 
Back
Top Bottom