Niliona clip moja Waziri wa Elimu akishauri Wamiliki wa Shule Na Wazazi waridhiane issue ya malipo ya ada, ni ushauri nzuri, lakini nimefuatilia magroup yalioanzishwa Na Shule mbalimbali wazazi wakiomba kupunguziwa ada kidogo,has a kutoa gharama za Chakula ambacho wanafunzi hawakula wakati wa likizo ya Corona, Wamiliki hao wamegoma kupunguza ada hiyo Na wamekuwa wakali jambo linaloashiria kuwafuatilia wanafunzi ambao wazazi wao walikuwa mstari wa mbele kudai punguzo ya ada,Kimsingi nafkiri in wakati muafaka serikali itoe tamko kuwaokoa wazazi ili maisha yaendelee kama ilivyokuwa awsli, Mungu ibariki Tanzania