Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nimepokea baadhi ya message inbox zingine zikinitisha nani kakwambia zingine utaratibu unakamilika kuwapatia kadi soon. Na nyingine ikishukuru kwa kufikisha ujumbe hadharani pengine wakubwa walikuwa hawajui. Tunaiomba serikali tukufu ya Mh. Magufuli iingilie kati upatikanaji wa kadi za bima vyuoni.
Huwezi ukapokea pesa za mtu ukaaa miezi zaidi ya minne ukisubiria kadi na wengine hata semister ya pili imefika hawana kadi. Ndugu zangu wapendwa hili jambo la kusikitisha sana sana limekuwa siri sasa nahisi lifike tamati. Wanapolipa MNS wanahitaji msaada wa kadi waweze kujiuguza.
Haipendezi wengine ada tunawalipia na bima tumelipa halafu unakuja kuomba pesa za dawa za malaria uti, gono. Kaswende nk. Mapenzi yangu kwa mungu serikali yetu pendwa iliyopo kwa ajili ya wananchi na watanzania kwa ujumla itatatua hili jambo.
Na ushauri kama NHIF hawapo tayari kutengeneza kadi wapewe bima zingine wala sio muda wa kulazimishana.
Huwezi ukapokea pesa za mtu ukaaa miezi zaidi ya minne ukisubiria kadi na wengine hata semister ya pili imefika hawana kadi. Ndugu zangu wapendwa hili jambo la kusikitisha sana sana limekuwa siri sasa nahisi lifike tamati. Wanapolipa MNS wanahitaji msaada wa kadi waweze kujiuguza.
Haipendezi wengine ada tunawalipia na bima tumelipa halafu unakuja kuomba pesa za dawa za malaria uti, gono. Kaswende nk. Mapenzi yangu kwa mungu serikali yetu pendwa iliyopo kwa ajili ya wananchi na watanzania kwa ujumla itatatua hili jambo.
Na ushauri kama NHIF hawapo tayari kutengeneza kadi wapewe bima zingine wala sio muda wa kulazimishana.