mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Ninaomba serikali ya mama Samia kuacha kukaa kimya na hicho chuo ambacho hakipo kisharia kilichoanzishwa na Polepole, chuo hicho ambacho kinafanya kazi kimtandao na makongamano nchi nzima na tayari kinawanafunzi kadhaa minaona kinakwenda kutugawa watanzania.
Ndugu huyu ambaye alianzisha chuo hicho baada tu ya upepo kubadirika tayari anazunguka nchi nzima akifanya makongamano yake huku serikali ikikaa kimya, hii haina maana kwetu kwani alikuwa wapi kufanya hivyo akiwa katika piki na leo katolewa ndiyo aanze kugawa watanzania.
Naiomba serikali ilichukulie kwa uzito wake swala hili kwani inaonekana kama katumwa na mtu au serikali yenyewe, kituambacho hatuelewi.
Na itakuwaje kama wengine wakianzisha hivyo vyuo na vyenye itikadi tofauti tofauti si tutakuwa tunaongeza balaa, nashauri Serikali iingilie kati na wamlete Polepole kwangu hata bila sadaka hili nimkanseli kisaikolojia kwa jina la Yesu atapona na kurudi katika hari yake.
Ndugu huyu ambaye alianzisha chuo hicho baada tu ya upepo kubadirika tayari anazunguka nchi nzima akifanya makongamano yake huku serikali ikikaa kimya, hii haina maana kwetu kwani alikuwa wapi kufanya hivyo akiwa katika piki na leo katolewa ndiyo aanze kugawa watanzania.
Naiomba serikali ilichukulie kwa uzito wake swala hili kwani inaonekana kama katumwa na mtu au serikali yenyewe, kituambacho hatuelewi.
Na itakuwaje kama wengine wakianzisha hivyo vyuo na vyenye itikadi tofauti tofauti si tutakuwa tunaongeza balaa, nashauri Serikali iingilie kati na wamlete Polepole kwangu hata bila sadaka hili nimkanseli kisaikolojia kwa jina la Yesu atapona na kurudi katika hari yake.