Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,709
MBONA TANGAZO LENYEWE NYAMA YA POPOMimi nina miaka kumi nakula popo.
View attachment 2002080
MBONA TANGAZO LENYEWE NYAMA YA POPOMimi nina miaka kumi nakula popo.
View attachment 2002080
Ila unataka kula kunguru, 🏃.Nani anataka kula katiba?
kwa sisi watafiti hii ni fursa ya kitafiti huenda akawa na substance zitakazomsaidia binadamu kuishimiaka 150 mpaka 200Mbona mtaani ilisemekana nyama ya kunguru ni chungu na hailiwi wala haiozi na hakuna bakteria wa kuisogolea na kuila, kunguru anakaukiana tu wala haozi.
Hili neno makange limetoholewa toka kwenye kikurya'nini au lugha gani hiyo?Tena ikiliwa kwa chips! We! Au makange ya kunguru! Itakuwa safi sana.
Ni kinyaa tu ndiyo kinachosumbua nzengo.Kama lengo ni kuwatokomeza ni heri
kutafuta njia nyingine mbadala kuliko hiyo ya kuwala ya kuhatarisha afya zetu..
Kunguru haieleweki kwann amekuwa si kitoweo halali kwa jamii zetu nyingi za kitanzania kama sio yote..
Ndege wengine kama njiwa,chorwe,kuku nk wanaliwa ikawaje huyu asiliwe kama ilivyo kwa paka?nadhani iko namna,mana kwa wabongo wanavyopenda vitoweo angekuwa hana madhara wala shida ya aina yeyote kunguru angeshaisha ktk USO wa nchi yetu..
Unajua tunapitwa na hii fursa?Kunguru ana nyama nzuri balaa, ina protein nyingi sana, calories ndo usiseme,halafu haina colesterol kabisa
Hawa ndege wanakua tishio kwa hapa mjini, tungeanzisha kampeni ya kuwala nadhani wangeisha ama sio kupungua
Kumeanzishwa operesheni kibao za kuwaangamiza kunguru lakini zimefeli kula ndo suluhisho
Nadhani serikali ihamasishe hawa ndege waliwe maana tunakosa vingi tena kwa sasa nyama zilivyopanda bei ni muhimu sana.View attachment 2002056
Mbona unawapata tu,tena ni simple.kunguru yuko makini sana, kumkamata ni kasheshe
umewah kuona kunguru wakifanya mapenzi ?
Serikali itangaze "nyama ya kunguru inaongeza nguvu za kiume kwa wanaume na makalio kwa wanawake" hapo ndio utakuwa mwisho wa Mr. Kunguru
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Si ndo hapo?.Na ukimnyonyoa nyama zimekaa wapi mule kama kutoka damu tu ndege yule shuhuli
Mhhhh!!, Jiandae kuugua KoronaMimi nina miaka kumi nakula popo.
View attachment 2002080