Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Kweli mwamba ngoma ngozi huvutia kwake. Mkuu wewe umeona ni vitabu tu, mbona vipo vingi vya kuondolewa VAT. Ila ni gharama kubwa aisee sasa si wengine tutaweza kununua kitabu hicho? hafu ni cha mapenzi...wakati vitabu vya kina Ben Carsons, Robert Kayosaki vinavyozungumzia maisha tunavipata kwa bei ya chini ya 15000tsh. Serikali inabidi iangalie upya hili suala, kitabu cha mapenzi nikanunue ziadi ya tsh40000 khaaaa, hata haikubaliki.
Mapenzi ndiyo yanafanya mambo mengine ya kina Carson na Kayosaki yawezekane.. think about it.. na siyo kitabu cha mapenzi ni cha saikolojia!