augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 170
Serikali Iliweka Kuwa Kila Mwezi Julai,katika Kipindi Hicho Hupandisha Mishahara Ya Watumishi Wake Na Kupanga Bajeti Yake.Sasa Inakuwaje Serikali Ipandishe Gharama Za Maji ,Umeme Katikati Ya Mwaka.Wadau Mnaonaje Hilo.