Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Vyuo vingi nchini havina hostel za kuwaacomodate wanafunzi wote, hivyo wengi wao huishia kutafuta vyumba mitaani (wale tuliosomea UDSM MIAKA ILE TUNALIFAHAMU BALAA HILI)
Wakati serikali ikitangaza 30 za kukaa nyumbani, ndicho kipindi ambacho wanafunzi hawa walikuwa wanarejea vyuoni kutoka likizo, wengi wao wakiwa wanasubiri hela ya kujikimu ili kuweza kulipia/kurenew kodi za magetto yao(kama wanavoita wao)
Sasa kwa hall kama ya Dar es salaam Ni mwenye nyumba yupi ambaye atakubali nyumba yake iwe na wapangaji ambao mda wao wa Kodi umeisha?
Nakumbuka kipindi kile Kodi ikiisha ukapitisha siku mbili tu, hayo maneno utakayonyeshewa kutoka kwa Landlord asee utatafuta hela usiku huo huo ukalipe.
Serikali endapo itaongeza siku za hawa wanafunzi kuendelea kukaa nyumbani basi iangalie namna ya kuwasaidia ili vitu vyao huko mitaani vibaki salama.
Zile familia zenye uwezo ndo zitapinga uzi huu, lakini wenzangu na Mimi wakulima wataelewa ninachoongea.
#serikali ya wanyonge
Wakati serikali ikitangaza 30 za kukaa nyumbani, ndicho kipindi ambacho wanafunzi hawa walikuwa wanarejea vyuoni kutoka likizo, wengi wao wakiwa wanasubiri hela ya kujikimu ili kuweza kulipia/kurenew kodi za magetto yao(kama wanavoita wao)
Sasa kwa hall kama ya Dar es salaam Ni mwenye nyumba yupi ambaye atakubali nyumba yake iwe na wapangaji ambao mda wao wa Kodi umeisha?
Nakumbuka kipindi kile Kodi ikiisha ukapitisha siku mbili tu, hayo maneno utakayonyeshewa kutoka kwa Landlord asee utatafuta hela usiku huo huo ukalipe.
Serikali endapo itaongeza siku za hawa wanafunzi kuendelea kukaa nyumbani basi iangalie namna ya kuwasaidia ili vitu vyao huko mitaani vibaki salama.
Zile familia zenye uwezo ndo zitapinga uzi huu, lakini wenzangu na Mimi wakulima wataelewa ninachoongea.
#serikali ya wanyonge