KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kutokana na kupanda kwa mafuta sasa serikali inatakiwa kuja na matazamo mbadala katika swala la ongezeko la Bei ya mafuta,isipokuwa makini itashindwa kukontroo bei za bidhaa nchini kwakuwa imeshindwa kukontroo bei ya mafuta!.
Kiukweli hapo Serikali ahina chakufanya zaidi yakuweka rudhuku katika wafanyabiashara kwa maana ya kuondoa kodi au kupunguza.
Na isipofanya hivyo leo sukari ipo katika Tsh 2850/= itafika 3400 je bidhaa nyingine itafikia kiasi gani?. Leo Jiji la Dar es salaam mafuta ni 3000+ basi jua hakuna kitu kitakaa stable everything now will be unstable kuanzia chakula,usafiri wa umma,school basi,Kila bidhaa sasa ni wakati wa serikali kuweka mkono mpaka chini.
Tusikae kwa kuangalia Uganda,Rwanda,Burundi wanauzaje mafuta hawa wote mafuta yanapita katika bandari zetu kwanini tufanye comparison? Kwani Serikali ikitoa baadhi ya kodi kwa kipindi hiki itakuwaje na ikabana matumizi yasiyokuwa ya lazima?
Haya ni maoni tu!
Kiukweli hapo Serikali ahina chakufanya zaidi yakuweka rudhuku katika wafanyabiashara kwa maana ya kuondoa kodi au kupunguza.
Na isipofanya hivyo leo sukari ipo katika Tsh 2850/= itafika 3400 je bidhaa nyingine itafikia kiasi gani?. Leo Jiji la Dar es salaam mafuta ni 3000+ basi jua hakuna kitu kitakaa stable everything now will be unstable kuanzia chakula,usafiri wa umma,school basi,Kila bidhaa sasa ni wakati wa serikali kuweka mkono mpaka chini.
Tusikae kwa kuangalia Uganda,Rwanda,Burundi wanauzaje mafuta hawa wote mafuta yanapita katika bandari zetu kwanini tufanye comparison? Kwani Serikali ikitoa baadhi ya kodi kwa kipindi hiki itakuwaje na ikabana matumizi yasiyokuwa ya lazima?
Haya ni maoni tu!