The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Kama inavyojulikana ni kwamba Tanzania ina kila sababu ya kupiga hatua kiuchumi kutokana na mahali ilipo. Hata hivyo mimi nilitarajia baada ya kuachana na siasa za kijamaa huenda tungeanza kuyapiku kiuchumi mataifa mengi yanayotuzunguka na hata yaliyo mbali.
Ndipo najiuliza kama taifa tufanye nini kitusaidie kufikia haya matamanio yangu? Natamani sana siku moja Tanzania iongoze uchumi wa Africa.
Ndipo najiuliza kama taifa tufanye nini kitusaidie kufikia haya matamanio yangu? Natamani sana siku moja Tanzania iongoze uchumi wa Africa.