wamisako
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 917
- 869
Hizi pesa zote si bora wangeendelea kujenga uwanja wa kaunda kuliko kutoa bure ,mana sizan kama yanga wamefikia utajiri mkubwa sana wakudhidi virabu vya chelsea,man,real na vingine ambavyo havijawah kuruhusu washabiki waingie bure ili hali timu zina viwanja binafsi tofaut na yanga kutegemea uwanja wa taifa.Mapato ya kiingilio huifanya timu iwe strong kiuchumi tofaut na yanga wanavofanya.Yusuf Manji kasha walipia mashabiki wote shs million 600, kama wangakata tiketi zisingefika hela hizo zingefika sana million 450