Serikali ichunguze kinachoendelea Dar es Salaam Maritime Institute (DMI), wanafunzi wanafurushwa eti walidahiliwa kimakosa!

Ncha Kali

JF-Expert Member
Sep 19, 2019
14,497
26,986
Ndugu zangu!
Kwa masikitiko makubwa, nimepokea taarifa hizi kutoka kwa mdogo wangu, mmoja wa wahanga.

Kaitwa ofisi ya msajili na kufahamishwa kuwa anatakiwa kuondoka mara moja chuoni hapo, kwamba kuna waraka umetoka TCU kwa kile kilichoitwa hakuwa amekidhi sifa za kudahiliwa katika ngazi ya shahada kwenye chuo/kozi hiyo.

Ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, semista ya pili sasa na ni mnufaika wa bodi ya mikopo. Ni ajabu kusikia kuwa kote huko na muda wote huo walijiridhisha na sifa zake, na mkopo amekuwa akipata tangu aanze masomo yake!

Kama mzazi nimeshindwa kuelewa hili na nimechukulia kama ‘uonevu’ kwa wanafunzi. Mbaya zaidi ‘anayewafukuza’ hatoi maelekezo ya kutosha zaidi ya kile anachokiita ni maelekezo kutoka TCU kwamba amepokea majina hayo kutoka huko.

Ombi langu kwa serikali kupitia TCU, wapitie upya uamuzi huu ili kujiridhisha na sifa za kila mwanafunzi.

Mmoja huyu ninayemfahamu ni mimi ndiye nilihusika kumwelekeza namna ya kufanya maombi ya kujiunga na Chuo, kila kozi ilikuwa na vigezo vya kutimiza (cutoff points, sifa zote zimeainishwa kwenye guidebook ya TCU).

Bila kufikia pointi husika mfumo wenyewe uliweza kugoma automatically, kijana huyu alitimiza kila kilichohitajika!

Hii sasa ni kitu gani?
Nini kimebadilika, watoto wasionewe, haki itendeke.

Wasalaam;

Ncha Kali.
 
Ndugu zangu!
Kwa masikitiko makubwa, nimepokea taarifa hizi kutoka kwa mdogo wangu, mmoja wa wahanga.

Kaitwa ofisi ya msajili na kufahamishwa kuwa anatakiwa kuondoka mara moja chuoni hapo, kwamba kuna waraka umetoka TCU kwa kile kilichoitwa hakuwa amekidhi sifa za kudahiliwa katika ngazi ya shahada kwenye chuo/kozi hiyo.

Ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, semista ya pili sasa na ni mnufaika wa bodi ya mikopo. Ni ajabu kusikia kuwa kote huko na muda wote huo walijiridhisha na sifa zake, na mkopo amekuwa akipata tangu aanze masomo yake!

Kama mzazi nimeshindwa kuelewa hili na nimechukulia kama ‘uonevu’ kwa wanafunzi. Mbaya zaidi ‘anayewafukuza’ hatoi maelekezo ya kutosha zaidi ya kile anachokiita ni maelekezo kutoka TCU kwamba amepokea majina hayo kutoka huko.

Ombi langu kwa serikali kupitia TCU, wapitie upya uamuzi huu ili kujiridhisha na sifa za kila mwanafunzi.

Mmoja huyu ninayemfahamu ni mimi ndiye nilihusika kumwelekeza namna ya kufanya maombi ya kujiunga na Chuo, kila kozi ilikuwa na vigezo vya kutimiza (cutoff points, sifa zote zimeainishwa kwenye guidebook ya TCU).

Bila kufikia pointi husika mfumo wenyewe uliweza kugoma automatically, kijana huyu alitimiza kila kilichohitajika!

Hii sasa ni kitu gani?
Nini kimebadilika, watoto wasionewe, haki itendeke.

Wasalaam;

Ncha Kali.
Pole ndugu yangu. Mijadala ya maana Kama hii huoni watu wakichangia Ila kwenye mada za kipumbavu za "jinsi ya kumridhisha mpenzi wako bila kutumia nguvu" utaona comments zisizohesabika.

Back to the point, kwa ufahamu wangu Kama ulivyosema awali Kama huna vigezo system ya TCU inakukataa automatically. Hayo wanayosema ni "majina yasiyokidhi sifa" si ajabu ni mkakati tu wa kupiga hela za wanafunzi.
 
Unakumbuka wale wa UDOM walifukuzwa wote wakaitwa vilaza.

Ombeni katiba kila kitu kitakuwa kwenye mstari. Bila katiba mpya maamuzi yote yatatokea mikononi mwa viongozi wachache, pia itategemea wameamkaje siku hiyo.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu!
Kwa masikitiko makubwa, nimepokea taarifa hizi kutoka kwa mdogo wangu, mmoja wa wahanga.

Kaitwa ofisi ya msajili na kufahamishwa kuwa anatakiwa kuondoka mara moja chuoni hapo, kwamba kuna waraka umetoka TCU kwa kile kilichoitwa hakuwa amekidhi sifa za kudahiliwa katika ngazi ya shahada kwenye chuo/kozi hiyo.

Ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, semista ya pili sasa na ni mnufaika wa bodi ya mikopo. Ni ajabu kusikia kuwa kote huko na muda wote huo walijiridhisha na sifa zake, na mkopo amekuwa akipata tangu aanze masomo yake!

Kama mzazi nimeshindwa kuelewa hili na nimechukulia kama ‘uonevu’ kwa wanafunzi. Mbaya zaidi ‘anayewafukuza’ hatoi maelekezo ya kutosha zaidi ya kile anachokiita ni maelekezo kutoka TCU kwamba amepokea majina hayo kutoka huko.

Ombi langu kwa serikali kupitia TCU, wapitie upya uamuzi huu ili kujiridhisha na sifa za kila mwanafunzi.

Mmoja huyu ninayemfahamu ni mimi ndiye nilihusika kumwelekeza namna ya kufanya maombi ya kujiunga na Chuo, kila kozi ilikuwa na vigezo vya kutimiza (cutoff points, sifa zote zimeainishwa kwenye guidebook ya TCU).

Bila kufikia pointi husika mfumo wenyewe uliweza kugoma automatically, kijana huyu alitimiza kila kilichohitajika!

Hii sasa ni kitu gani?
Nini kimebadilika, watoto wasionewe, haki itendeke.

Wasalaam;

Ncha Kali.
DMI haipo chini ya TCU Bali NACTE
 
Ndugu zangu!
Kwa masikitiko makubwa, nimepokea taarifa hizi kutoka kwa mdogo wangu, mmoja wa wahanga.

Kaitwa ofisi ya msajili na kufahamishwa kuwa anatakiwa kuondoka mara moja chuoni hapo, kwamba kuna waraka umetoka TCU kwa kile kilichoitwa hakuwa amekidhi sifa za kudahiliwa katika ngazi ya shahada kwenye chuo/kozi hiyo.

Ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, semista ya pili sasa na ni mnufaika wa bodi ya mikopo. Ni ajabu kusikia kuwa kote huko na muda wote huo walijiridhisha na sifa zake, na mkopo amekuwa akipata tangu aanze masomo yake!

Kama mzazi nimeshindwa kuelewa hili na nimechukulia kama ‘uonevu’ kwa wanafunzi. Mbaya zaidi ‘anayewafukuza’ hatoi maelekezo ya kutosha zaidi ya kile anachokiita ni maelekezo kutoka TCU kwamba amepokea majina hayo kutoka huko.

Ombi langu kwa serikali kupitia TCU, wapitie upya uamuzi huu ili kujiridhisha na sifa za kila mwanafunzi.

Mmoja huyu ninayemfahamu ni mimi ndiye nilihusika kumwelekeza namna ya kufanya maombi ya kujiunga na Chuo, kila kozi ilikuwa na vigezo vya kutimiza (cutoff points, sifa zote zimeainishwa kwenye guidebook ya TCU).

Bila kufikia pointi husika mfumo wenyewe uliweza kugoma automatically, kijana huyu alitimiza kila kilichohitajika!

Hii sasa ni kitu gani?
Nini kimebadilika, watoto wasionewe, haki itendeke.

Wasalaam;

Ncha Kali.
Ulivyotaja tcu unaonekana mzushi....vinasimamiwa na nacte sio tcu
 
To make it simple, mtu hawez kufukuzwa chuo kwa mdomo. Mpaka apewe barua ya SENATE inayomfukuza yeye au kundi la wanafunzi wenye vigezo sawia.
Bila hiyo barua/press release mwanafunzi asiondoke chuoni
 
Mkuu memda Nacte ndo suluhisho....

Huko mafinga kuna chuo kimeleta upumbavu kinashugulikiwa na wanafunzi wanapewa haki yao..kwahiyo peleka malalamiko nacte kama kipo chini ya Nacte kama wadau wanavyosema.

Asante sana mkuu.
 
To make it simple, mtu hawez kufukuzwa chuo kwa mdomo. Mpaka apewe barua ya SENATE inayomfukuza yeye au kundi la wanafunzi wenye vigezo sawia.
Bila hiyo barua/press release mwanafunzi asiondoke chuoni

Asante mkuu, hii ni nukta muhimu na kijana bado anaendelea na masomo hadi hayo yatendeke.... tulishauri asiondoke kwanza.

Ujue aliitwa tu ofisini na kutakiwa afungashe, kwamba ikiwa ataendelea kuwepo chuo ni kupoteza muda wake bure!!!!
 
Asante mkuu, hii ni nukta muhimu na kijana bado anaendelea na masomo hadi hayo yatendeke.... tulishauri asiondoke kwanza.

Ujue aliitwa tu ofisini na kutakiwa afungashe, kwamba ikiwa ataendelea kuwepo chuo ni kupoteza muda wake bure!!!!
Nendeni kwanza NACTE kama hamjawaelewa au hamjaridhika fungueni shauri mahakamani. Tafuteni mwanasheria.
Kama gharama inawashinda awataute wahanga wenzie wajiunge kama kundi na mwanasheria afungue shauri la kuwatetea wengi kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom