Serikali ianzishe kampuni zake za uchimbaji madini tuondokane na unyonyaji huu

kirerenya

JF-Expert Member
Aug 27, 2013
1,696
2,251
Sabalkher wadau,

Kutokana na ripoti mbili zote za mchanga wa madini zilizowasilishwa kwa mh Rais, tumeona tunaibiwa mchana kweupe mpaka dunia inatushangaa.

Tumepoteza trilioni za shilingi katika sekta ya madini.
Naishauri serikali ihakikishe inamaliza migogoro hii ya madini inayoendelea hivi sasa. Baada ya hapo ikiwezekana tufute kabisa kampuni zote za madini na iundwe kampuni moja kubwa ya madini itakayosimamiwa na serikali.

Najua fika kwamba kuanzisha kampunia ya madini kunahitaji mtaji mkubwa lakini serikali ina nguvu kubwa. Tuchukulie mfano kidogo tuu kwenye uwekezaji ktk bomba la gesi ambao umegharimu kiasi cha zaidi ya dola bilioni moja za kimarekani ambayo ni zaidi ya trilioni 2 za kitanzania. Ikiwa tumeweza kutekeleza mradi mkubwa namna hii, hata madini tunaweza kuthubutu kuingia.

Tutaanza kwa kutumia teknolojia ya kawaida na zana kadhaa za kisasa na muda unavyokwenda tutaendelea kuboresha zana zetu.

Tusipozingatia hili tutaendelea kuibiwa kwani mwizi akishazoea kuiba hawezi kuacha; Mwl Nyerere alisema Mtu akishazoea kula nyama ya mtu hawezi kuacha.
Ushauri unazingatia pia miaka ijayo ambapo huenda Mh Magufuli akawa ameshamaliza muda wake hivyo wakaibuka wajanja wengine na kuendelea kuitafuana nchi yetu.

Nawasilisha
 
Kwani si tayari kampuni ipo STAMIGOLD chini ya STAMICO. Iongezewe mtaji ili iweze kuongeza migodi.Kuwa na mgodi ni rahisi sana. Haizidi hata 300bl tena huo ni mkubwa kabisa. Tukiamua tunaweza
 
Kwani si tayari kampuni ipo STAMIGOLD chini ya STAMICO. Iongezewe mtaji ili iweze kuongeza migodi.Kuwa na mgodi ni rahisi sana. Haizidi hata 300bl tena huo ni mkubwa kabisa. Tukiamua tunaweza
Nenda kawaulize STAMIGOLD kitu gani kimewafanya washindwe iendesha TULAWAKA? ukipata jibu njoo....
 
Sabalkher wadau,

Kutokana na ripoti mbili zote za mchanga wa madini zilizowasilishwa kwa mh Rais, tumeona tunaibiwa mchana kweupe mpaka dunia inatushangaa.

Tumepoteza trilioni za shilingi katika sekta ya madini.
Naishauri serikali ihakikishe inamaliza migogoro hii ya madini inayoendelea hivi sasa. Baada ya hapo ikiwezekana tufute kabisa kampuni zote za madini na iundwe kampuni moja kubwa ya madini itakayosimamiwa na serikali.

Najua fika kwamba kuanzisha kampunia ya madini kunahitaji mtaji mkubwa lakini serikali ina nguvu kubwa. Tuchukulie mfano kidogo tuu kwenye uwekezaji ktk bomba la gesi ambao umegharimu kiasi cha zaidi ya dola bilioni moja za kimarekani ambayo ni zaidi ya trilioni 2 za kitanzania. Ikiwa tumeweza kutekeleza mradi mkubwa namna hii, hata madini tunaweza kuthubutu kuingia.

Tutaanza kwa kutumia teknolojia ya kawaida na zana kadhaa za kisasa na muda unavyokwenda tutaendelea kuboresha zana zetu.

Tusipozingatia hili tutaendelea kuibiwa kwani mwizi akishazoea kuiba hawezi kuacha; Mwl Nyerere alisema Mtu akishazoea kula nyama ya mtu hawezi kuacha.
Ushauri unazingatia pia miaka ijayo ambapo huenda Mh Magufuli akawa ameshamaliza muda wake hivyo wakaibuka wajanja wengine na kuendelea kuitafuana nchi yetu.

Nawasilisha
Tuanzishe kampuni zetu za uchimbaji?!!!! Ni wazo zuri,lakini dah,tutauzia wapi hayo madini, maana jamaa wana network dunia nzima.Aisee make no mistake about it,hawa jamaa wana roho mbaya kishenzi,mkisha fall apart wako tayari hata kuua.Nyerere alijaribu akashindwa, jamaa wali sabotage mkakati wote.Na wengine kama Dr. Williamson walipoteza maisha katika harakati za kugombea madini,na aliyehusika ni Oppenheimer huyu huyu wa Barrick! Hapana,the best option ni partnership.Tufanye negotiations,tu sort out our differences,tuwe equal partners tuendelee na kazi.That is the best option.
 
Sabalkher wadau,

Kutokana na ripoti mbili zote za mchanga wa madini zilizowasilishwa kwa mh Rais, tumeona tunaibiwa mchana kweupe mpaka dunia inatushangaa.

Tumepoteza trilioni za shilingi katika sekta ya madini.
Naishauri serikali ihakikishe inamaliza migogoro hii ya madini inayoendelea hivi sasa. Baada ya hapo ikiwezekana tufute kabisa kampuni zote za madini na iundwe kampuni moja kubwa ya madini itakayosimamiwa na serikali.

Najua fika kwamba kuanzisha kampunia ya madini kunahitaji mtaji mkubwa lakini serikali ina nguvu kubwa. Tuchukulie mfano kidogo tuu kwenye uwekezaji ktk bomba la gesi ambao umegharimu kiasi cha zaidi ya dola bilioni moja za kimarekani ambayo ni zaidi ya trilioni 2 za kitanzania. Ikiwa tumeweza kutekeleza mradi mkubwa namna hii, hata madini tunaweza kuthubutu kuingia.

Tutaanza kwa kutumia teknolojia ya kawaida na zana kadhaa za kisasa na muda unavyokwenda tutaendelea kuboresha zana zetu.

Tusipozingatia hili tutaendelea kuibiwa kwani mwizi akishazoea kuiba hawezi kuacha; Mwl Nyerere alisema Mtu akishazoea kula nyama ya mtu hawezi kuacha.
Ushauri unazingatia pia miaka ijayo ambapo huenda Mh Magufuli akawa ameshamaliza muda wake hivyo wakaibuka wajanja wengine na kuendelea kuitafuana nchi yetu.

Nawasilisha
Hili linawezekana nje ya mfumo wa kibepari,lakini ikiwa Ubepari ndio mfumo wa kiuchumi duniani;nchi changa kama hii yetu tujiandikie tumeumia.
 
TUNAWEZA ILA MITAJI INAWEZA KUWA KIGEZO MAANA VIFAA VILE NI GHALI SANA
 
lusungoni post: 21595231 said:
Nenda kawaulize STAMIGOLD kitu gani kimewafanya washindwe iendesha TULAWAKA? ukipata jibu njoo....
Nasikia tatizo ni mtaji mdogo
 
IPO stamico.tatizo watanzania hakuna tunachoweza.Mirafi mingapi tumeachiwa na wafadhili tumeiua?
 
Tuanzishe kampuni zetu za uchimbaji?!!!! Ni wazo zuri,lakini dah,tutauzia wapi hayo madini, maana jamaa wana network dunia nzima.Aisee make no mistake about it,hawa jamaa wana roho mbaya kishenzi,mkisha fall apart wako tayari hata kuua.Nyerere alijaribu akashindwa, jamaa wali sabotage mkakati wote.Na wengine kama Dr. Williamson walipoteza maisha katika harakati za kugombea madini,na aliyehusika ni Oppenheimer huyu huyu wa Barrick! Hapana,the best option ni partnership.Tufanye negotiations,tu sort out our differences,tuwe equal partners tuendelee na kazi.That is the best option.

Mkuu kuliko tuendelee kuibiwa hivi huku tukipewa mrahaba wa 5% tuu bora tuwafute hawa watu. Naamini kuna nchi za kiafrika zinachimba madini yake zenyewe na kuyauza. Naamini Afrika Kusini wanafanya hili.
 
Mkuu kuliko tuendelee kuibiwa hivi huku tukipewa mrahaba wa 5% tuu bora tuwafute hawa watu. Naamini kuna nchi za kiafrika zinachimba madini yake zenyewe na kuyauza. Naamini Afrika Kusini wanafanya hili.
Mkuu wazo la kuanzisha kampuni hizo sio baya kama nilivyotangulia kusema, tatizo ni hujuma.Nikuambie kitu mkuu, duniani hakuna nchi kama nchi inayochimba madini yake yenyewe.Afrika ya kusini De Beers ndio wanaochimba alimasi na dhahabu Barrick Gold.

Mkuu yapo makampuni kumi yanayochimba dhahabu duniani, kubwa likiwa Barrick Gold na kumi ya alimasi, kubwa likiwa De Beers.Haya yote mkuu ni makampuni binafsi na yote yana uhusiano wa karibu sana, kwa hiyo ukishatibuana na moja umetibuana nayo yote. Kama nilivyosema tusiruhusu kuibiwa, ila tuwe equal partners na hayo makampuni.Ipo kampuni moja ambayo ndiyo inachimba alimasi ya Botswana, inaitwa DEBSWANA. Hii kampuni taarifa iliyopo ni kwamba ina terms nzuri sana na serikali ya Botswana.Sio vibaya tukipata uzoefu wa Botswana ili wakati wa negotiations na Barrick tuwe na mifano hai ambayo ni implementable.
 
Mkuu wazhivyoampuni hizo sio baya kama nilivyotangulia kusema, tatizo ni hujuma.Nikuambie kitu mkuu, duniani hakuna nchi kama nchi inayochimba madini yake yenyewe.Afrika ya kusini De Beers ndio wanaochimba alimasi na dhahabu Barrick Gold.

Mkuu yapo makampuni kumi yanayochimba dhahabu duniani, kubwa likiwa Barrick Gold na kumi ya alimasi, kubwa likiwa De Beers.Haya yote mkuu ni makampuni binafsi na yote yana uhusiano wa karibu sana, kwa hiyo ukishatibuana na moja umetibuana nayo yote. Kama nilivyosema tusiruhusu kuibiwa, ila tuwe equal partners na hayo makampuni.Ipo kampuni moja ambayo ndiyo inachimba alimasi ya Botswana, inaitwa DEBSWANA. Hii kampuni taarifa iliyopo ni kwamba ina terms nzuri sana na serikali ya Botswana.Sio vibaya tukipata uzoefu wa Botswana ili wakati wa negotiations na Barrick tuwe na mifano hai ambayo ni implementable.
Kama nipo sahihi DEBSWANA ndio hao hao De Beers
 
Kama nipo sahihi DEBSWANA ndio hao hao De Beers
De Beers wana shares DEBSWANA mkuu, ila sio wholly owned na De Beers, ndio maana wana autonomy of some kind na wamewapa Botswana deal nzuri.Infact ni kampuni ambayo ni merger kati ya serikali ya Botswana na De Beers and hence DEBSWANA.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom