Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
Ni swala lilisilopingika kuwa serikali ya tano imesimama katika haki,uweledi na uwajibikaji.
Baada ya mafanikio makubwa katika kuondoa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Muda umefika sasa raia wa kigeni wafanyiwe ukaguzi uhalali wa vyeti vyao.
MUHIMU: 1) Raia wengi wa kigeni wameajiriwa katika kazi ambazo watanzania wanaweza kuzifanya tena kwa ufanisi mkubwa zaidi yao.
2) Kama ilivyo Tanzania uwepo wa vyeti feki vipo kote ulimwenguni na kuna baadhi ya nchi hili swala ni kubwa sana.
3) Watanzania wengi hunyanyaswa na kubaguliwa katika upatikanaji wa nafasi za kazi wawapo ughaibun. Kwa nini leo hii nchi yetu tuwe ni watu wakupokea tu hata watu wasio na sifa.
4)Ni swala la kizalendo
5)itaijengea heshima taifa letu.
6) Huduma zao mbovu pia huathiri Watanzania
Baada ya mafanikio makubwa katika kuondoa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Muda umefika sasa raia wa kigeni wafanyiwe ukaguzi uhalali wa vyeti vyao.
MUHIMU: 1) Raia wengi wa kigeni wameajiriwa katika kazi ambazo watanzania wanaweza kuzifanya tena kwa ufanisi mkubwa zaidi yao.
2) Kama ilivyo Tanzania uwepo wa vyeti feki vipo kote ulimwenguni na kuna baadhi ya nchi hili swala ni kubwa sana.
3) Watanzania wengi hunyanyaswa na kubaguliwa katika upatikanaji wa nafasi za kazi wawapo ughaibun. Kwa nini leo hii nchi yetu tuwe ni watu wakupokea tu hata watu wasio na sifa.
4)Ni swala la kizalendo
5)itaijengea heshima taifa letu.
6) Huduma zao mbovu pia huathiri Watanzania