YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Ni wakati muafaka kwa serikali kuanza kutoa leseni za daladala luxury ambazo zitakuwa zipakia watu level seat bila wengine kusimama.
Miji yetu Ina middle class wengi kwa Sasa ambao kupanda usafiri wa daladala au mwendo Kasi ulivyo Sasa hivi ni kuwaonea .Ndio maana usafiri wa daladala haupendwi kutumiwa hata na watu Kama wahindi na waarabu na wageni wanaotembelea nchi yetu.
Tukubali Kama Kuna madaraja kwenye ndege na daladala ziwe na madaraja.First class ziwe hizo za level seat ,third class ziwe hizo basi za mwendo Kasi na hizo daladala za mbagala na gongo la mboto ambazo hujaza watu Kama mihogo na zikipakia watu huingia Hadi kupitia madishani.Napendekeza nauli iwe shilingi elfu Mbili.
Miji yetu Ina middle class wengi kwa Sasa ambao kupanda usafiri wa daladala au mwendo Kasi ulivyo Sasa hivi ni kuwaonea .Ndio maana usafiri wa daladala haupendwi kutumiwa hata na watu Kama wahindi na waarabu na wageni wanaotembelea nchi yetu.
Tukubali Kama Kuna madaraja kwenye ndege na daladala ziwe na madaraja.First class ziwe hizo za level seat ,third class ziwe hizo basi za mwendo Kasi na hizo daladala za mbagala na gongo la mboto ambazo hujaza watu Kama mihogo na zikipakia watu huingia Hadi kupitia madishani.Napendekeza nauli iwe shilingi elfu Mbili.