Serikali iangalie viroba bado vinatumika angalieni Bungeni na Mitaani ushahidi upo

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Nishukuru sana viroba vilipopigwa marufuku. Lakini nmegundua bado kuna watu wanatumia kwa siri. Umesikiliza bunge wabunge wanavyoongea?kama hawajakunywa viroba bas wamevuta ile sigara kali.

Unamkuta mbunge au waziri kabisa anaongea mwingine anasema hakuna kutekwa...kutekwa si suala la mchezo...so hawa waliotekwa ilikuaje? Katika akili za binadam wa kawaida hawez ongea hivyo.

Angalia post au comments za baadhi ya wana JF. Utagundua viroba bado vipo kabisa.vingi tu. Tena watu sasa wanakunywa 24x7 serikali iliangalie jambo hili kwa kina.
 
Nishukuru sana viroba vilipopigwa marufuku. Lakini nmegundua bado kuna watu wanatumia kwa siri. Umesikiliza bunge wabunge wanavyoongea?kama hawajakunywa viroba bas wamevuta ile sigara kali.

Unamkuta mbunge au waziri kabisa anaongea mwingine anasema hakuna kutekwa...kutekwa si suala la mchezo...so hawa waliotekwa ilikuaje? Katika akili za binadam wa kawaida hawez ongea hivyo.

Angalia post au comments za baadhi ya wana JF. Utagundua viroba bado vipo kabisa.vingi tu. Tena watu sasa wanakunywa 24x7 serikali iliangalie jambo hili kwa kina.
Kwenye Post hapo nakuunga mkono
hasa Hawa Bavicha
 
Nishukuru sana viroba vilipopigwa marufuku. Lakini nmegundua bado kuna watu wanatumia kwa siri. Umesikiliza bunge wabunge wanavyoongea?kama hawajakunywa viroba bas wamevuta ile sigara kali.

Unamkuta mbunge au waziri kabisa anaongea mwingine anasema hakuna kutekwa...kutekwa si suala la mchezo...so hawa waliotekwa ilikuaje? Katika akili za binadam wa kawaida hawez ongea hivyo.

Angalia post au comments za baadhi ya wana JF. Utagundua viroba bado vipo kabisa.vingi tu. Tena watu sasa wanakunywa 24x7 serikali iliangalie jambo hili kwa kina.
Ww unaona wivu!? Acha tuendelee kukata mfuko na kupuliza moshi hewani
 
Nishukuru sana viroba vilipopigwa marufuku. Lakini nmegundua bado kuna watu wanatumia kwa siri. Umesikiliza bunge wabunge wanavyoongea?kama hawajakunywa viroba bas wamevuta ile sigara kali.

Unamkuta mbunge au waziri kabisa anaongea mwingine anasema hakuna kutekwa...kutekwa si suala la mchezo...so hawa waliotekwa ilikuaje? Katika akili za binadam wa kawaida hawez ongea hivyo.

Angalia post au comments za baadhi ya wana JF. Utagundua viroba bado vipo kabisa.vingi tu. Tena watu sasa wanakunywa 24x7 serikali iliangalie jambo hili kwa kina.
Sasa ndio umeandika nini tulia uandike vizuri
 
Nishukuru sana viroba vilipopigwa marufuku. Lakini nmegundua bado kuna watu wanatumia kwa siri. Umesikiliza bunge wabunge wanavyoongea?kama hawajakunywa viroba bas wamevuta ile sigara kali.

Unamkuta mbunge au waziri kabisa anaongea mwingine anasema hakuna kutekwa...kutekwa si suala la mchezo...so hawa waliotekwa ilikuaje? Katika akili za binadam wa kawaida hawez ongea hivyo.

Angalia post au comments za baadhi ya wana JF. Utagundua viroba bado vipo kabisa.vingi tu. Tena watu sasa wanakunywa 24x7 serikali iliangalie jambo hili kwa kina.

Wacha Bangi mbichi!
Unatumia makalio kufikiri? Konyagi chupa ya 250mls zinauzwa kila kona! Ila kwa kuwa akili zako ni za kuazimwa unafikiri kinyume. Wanywaji wa VIROBA hawajaacha ni kiasi cha kuchanga fedha mnanunua mzinga wa konyagi au pombe kali yoyote mnachukua chupa za maji na kugawana sehemu 4 unapata kitu kile kile. Kumbuka walevi wana mshikamano wa hali ya juu. Konyagi haijaharamishwa bali wenye akili fupi wamekataza vifungashio vya kutumia karatasi za nailoni/plastic sasa kama wewe na wanokomalia kuzuia viroba si ni mataahira tu? After all hao hao Ccm wameruhusu pikipiki kubeba abiria kwa tamaa ya fedha kutoka kwa wahindi na wachina leo nchi imejaa walemavu kuliko Iraq , Syria na Yemen na Afghanistan kwenye vita kila saa. Hata kufungasha viroba mpaka TBS ilitoa viwango ila kwa sababu kasema sijui Waziri Mkuu bila utafifiti wa kisayansi manakurupuka kama maamuma na kuitikia viroba vibaya ! Hivi wadanganyika mtaacha uzuzu lini?
 
Viroba bado mtaani Vipo, nimeviona kwa macho Yangu MTU anavyo na watu wananunua hapa Mlandizi
 
Back
Top Bottom