Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau Naomba Nitoe Ushauri Ufuatao Kuhusu Matumizi Ya Baadhi Ya Magari.
Sio Lengo Langu Kuingilia Biashara Za Watu,Kuzungumzia Ubora Wa Aina Fulani Ya Chombo Cha Usafiri, Wala Kuwafundisha Mamlaka Husika Utekelezaji Wa Kazi Zao. Nimesukumwa Tu Na Hisia Zangu Za Huruma Kutokana Na Matukio Japo Sina Takwimu Sahihi Ya Ajali Zinahusisha Magari Sana Has a Yale Yanayoinika Na Wengi Kuwa Yana Speed Kali Na Ni Ya Kisasa Zaidi.
Nazi gumzia Magari Aina Ya Subaru,Alteeza,Mark X.
Karibuni Wadau Kwa Maoni
Sio Lengo Langu Kuingilia Biashara Za Watu,Kuzungumzia Ubora Wa Aina Fulani Ya Chombo Cha Usafiri, Wala Kuwafundisha Mamlaka Husika Utekelezaji Wa Kazi Zao. Nimesukumwa Tu Na Hisia Zangu Za Huruma Kutokana Na Matukio Japo Sina Takwimu Sahihi Ya Ajali Zinahusisha Magari Sana Has a Yale Yanayoinika Na Wengi Kuwa Yana Speed Kali Na Ni Ya Kisasa Zaidi.
Nazi gumzia Magari Aina Ya Subaru,Alteeza,Mark X.
Karibuni Wadau Kwa Maoni