Huenda hili ndiyo shetani lenyewe lililoshiriki kwenye lile shambulio, na sasa limeanza kuwehuka.Vipi aliyeondoa walinzi getini siku Lisu alipopigwa risasi alishajulikana? Angalau tujue akija atakuwa salama.
Hivi mtu alipigwa risasi halafu ikawa marufuku kumwombea uliona wapi kama siyo Tanzania pekee?