SERIKALI IACHE SIASA KWENYE MICHEZO KWANINI ISITOE MASHARTI KWA TIMU BADALA YA YANGA TU?

Mpira wa kona

JF-Expert Member
Nov 25, 2016
350
338
Nachukua nafasi hii kuishangaa Serikali kuleta siasa kwenye suala la Uwanja wa Taifa Na Uhuru.Niliamini Kwa kuwa vilabu vyote vilishiriki kuharibu viti kila klabu Kwa wakati wake, Na pia viliomba msamaha Kwa Serikali niliamini msamaha ungekuwa wa pamoja.Cha kushangaza serikali inaingia mkataba Na klabu moja badala ya kuviruhusu vilabu vyote Kwa masharti au mikataba.Tunaishauri serikali iviruhusu vilabu vyote kutumia viwanja hivyo .Ni klabu ya Azam pekee ndio INA uwanja wake lakini simba Na yanga hata wa mazoezi hawana.
 
Nachukua nafasi hii kuishangaa Serikali kuleta siasa kwenye suala la Uwanja wa Taifa Na Uhuru.Niliamini Kwa kuwa vilabu vyote vilishiriki kuharibu viti kila klabu Kwa wakati wake, Na pia viliomba msamaha Kwa Serikali niliamini msamaha ungekuwa wa pamoja.Cha kushangaza serikali inaingia mkataba Na klabu moja badala ya kuviruhusu vilabu vyote Kwa masharti au mikataba.Tunaishauri serikali iviruhusu vilabu vyote kutumia viwanja hivyo .Ni klabu ya Azam pekee ndio INA uwanja wake lakini simba Na yanga hata wa mazoezi hawana.
Huo ubaguzi wao mimi ndio nimeupenda, sasa hivi sisi mashabiki wa simba hata tukivunja viti team yetu haitahusika mana hatuna mkataba na serikali Mkodisho Fc ndio watakaolipa, serikali isichokielewa ni kwamba Tanzania kuna mashabiki wa timu mbili tu Simba S.C na Mkodisho F.C, na akicheza Mkodisho na timu nyingine mashabiki wa Simba Taifa kubwa watashangilia timu nyingine, na huo ndo utani wa jadi ulipo, sasa ukimpa uwanja Mkodisho peke yake kimkataba wakati kiuhalisia uwanja utatumiwa na mashabiki wa Simba pia, ni kumpa mkodisho mzigo mzito.
 
Back
Top Bottom