Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,115
- 1,322
Basi kama ni hivyo serikali ikubali kujenga mabweni ili watoto wote wa kike wakae bweni, habari za ngonjela za mazingira magumu sijui kukaa mbali tusizisikie. Hawa waichana wa shule walio wengi wanajihusisha na ngono na kupata mimba kwa hiari yao kabisa, na wengine wanasingizia walibakwa, mbona kesi za kubakwa zinakuwa hazipo?
Na mimekuja kugundua mabinti waliopata watoto na umri mdogo wakiwa shule huwa wanajisifia kwa kupata watoto wa mapema.
Serikali itafute namna ya kuwafanya hawa watoto wabane miguu yao vizuri la sivyo, tutakuwa na taifa la wasichana wenye maadili ya hovyo.
Na mimekuja kugundua mabinti waliopata watoto na umri mdogo wakiwa shule huwa wanajisifia kwa kupata watoto wa mapema.
Serikali itafute namna ya kuwafanya hawa watoto wabane miguu yao vizuri la sivyo, tutakuwa na taifa la wasichana wenye maadili ya hovyo.