Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,184
- 3,517
Amani iwe juu yenu.
Jambo ambalo lipo wazi ni kwamba watanzania ni watu WABINAFSI SANA na watu wenye kufuata maslahi.
Jambo lingine ambalo lipo wazi ni kuwa KATIBA mpya ni jambo lisilo zuilika kabisa na wanaopinga au kukataa KATIBA mpya basi rudi kwenye pointi yangu hapo juu.
Mifumo mingi ya serikali inabidi ibadilishwe kupitia katiba mpya. Mfano;
Madaraka ya Rais
Kinga za viongozi
Usawa na kula keki ya Taifa
Haki za binadamu na utawala bora
Ubunge viti maalum
UDAS, UDC, URAS NA URC.
USHAURI KWA MH: RAIS SSH
Kwa kuwa mwakani kuna sensa ya watu na makazi iliyotengewa TSH 300+ bilioni ni bora kwa mwakani Wananchi wakashughulikia KATIBA MPYA halafu Sensa ya watu na makazi ikasubiri.
KUCHELEWESHWA KWA KATIBA MPYA NI SABABU TU YA KULINDA MASLAHI BINAFSI WALA HAKUNA KIPYA CHOCHOTE.
Jambo ambalo lipo wazi ni kwamba watanzania ni watu WABINAFSI SANA na watu wenye kufuata maslahi.
Jambo lingine ambalo lipo wazi ni kuwa KATIBA mpya ni jambo lisilo zuilika kabisa na wanaopinga au kukataa KATIBA mpya basi rudi kwenye pointi yangu hapo juu.
Mifumo mingi ya serikali inabidi ibadilishwe kupitia katiba mpya. Mfano;
Madaraka ya Rais
Kinga za viongozi
Usawa na kula keki ya Taifa
Haki za binadamu na utawala bora
Ubunge viti maalum
UDAS, UDC, URAS NA URC.
USHAURI KWA MH: RAIS SSH
Kwa kuwa mwakani kuna sensa ya watu na makazi iliyotengewa TSH 300+ bilioni ni bora kwa mwakani Wananchi wakashughulikia KATIBA MPYA halafu Sensa ya watu na makazi ikasubiri.
KUCHELEWESHWA KWA KATIBA MPYA NI SABABU TU YA KULINDA MASLAHI BINAFSI WALA HAKUNA KIPYA CHOCHOTE.