johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Akijibu maswali ya waandishi wa habari leo mjini Iringa msemaji wa serikali Gerson Msigwa amesema serikali ni sikivu ndio maana wananchi walipolalamikia tozo ilichukua hatua haraka ikitumia Uwezo alionao Waziri wa fedha kurekebisha kanuni
Msigwa amesema Tozo ni swala la kisheria lililopitishwa bungeni hivyo huko mbele ni bunge hilo hilo litakaloamua kurekebisha au kufuta tozo kwani wao ndio watunga sheria.
Source: TBC
Msigwa amesema Tozo ni swala la kisheria lililopitishwa bungeni hivyo huko mbele ni bunge hilo hilo litakaloamua kurekebisha au kufuta tozo kwani wao ndio watunga sheria.
Source: TBC