Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,041
We bwege kweli nani anaona fahari kuja dar il-hali anaumwa anasukumwa kwenye kiti?. Una matusi ya rejareja.Kwahiyo pesa itakayofanya marekebisho muhimbili itatosha kujenga mikoa yote 25 hospital kama ya muhimbili? Hao watu wako wa mikoani wenywe kwenda dar kutibiwa muhimbili wanaona fahari
Dar yenyewe inanuka,nani anaitamani. Tunataka tujenge mikoa mingine pia