Mods naomba hoja hii muiache hapahapa na si jukwaa la Michezo.
Siku ya Jana kulikuwa na Mechi kati ya Yanga na Zesco.
Baadhi ya washabiki waovu wa Yanga waliwavamia washabiki wa Simba na kuanza kuwapiga kwa kuwachania jezi na kuwasababishia maumivu usumbufu na hofu,kisa ni kwa kuwa wamevaa jezi za Simba au Zesco.
Kwa ukubwa wa timu hizi mbili na jinsi zilivyo na washabiki wengi hapa nchini,ni hatari sana kwa kilichofanyika,hii inaashiria Amani itatoweka siku si nyingi,pale wapenzi na washabiki wa Simba watakapo amua kulipa kisasi.
Nasema vita hiyo haitakuwa ndogo,itakuwa uwanjani na mwisho hadi mitaani,na itasambaa nchi nzima.
Waziri wa Michezo na wa Mambo ya ndani toeni tamko haraka sana,kabla hiki kitu hakijaleta maafa.Na Mimi nashauri,kama jambo hili litatokea.Timu za Simba na Yanga zifutwe kabisa kwenye ulimwengu wa Soka.Amani ni kuzidi Soka.
Siku ya Jana kulikuwa na Mechi kati ya Yanga na Zesco.
Baadhi ya washabiki waovu wa Yanga waliwavamia washabiki wa Simba na kuanza kuwapiga kwa kuwachania jezi na kuwasababishia maumivu usumbufu na hofu,kisa ni kwa kuwa wamevaa jezi za Simba au Zesco.
Kwa ukubwa wa timu hizi mbili na jinsi zilivyo na washabiki wengi hapa nchini,ni hatari sana kwa kilichofanyika,hii inaashiria Amani itatoweka siku si nyingi,pale wapenzi na washabiki wa Simba watakapo amua kulipa kisasi.
Nasema vita hiyo haitakuwa ndogo,itakuwa uwanjani na mwisho hadi mitaani,na itasambaa nchi nzima.
Waziri wa Michezo na wa Mambo ya ndani toeni tamko haraka sana,kabla hiki kitu hakijaleta maafa.Na Mimi nashauri,kama jambo hili litatokea.Timu za Simba na Yanga zifutwe kabisa kwenye ulimwengu wa Soka.Amani ni kuzidi Soka.