Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Kama somo linavyosema, naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Ukisikiliza au ukitazama vyombo vya habari mbalimbali ndani ya hii miaka 3 ya utawala wa Rais Magufuli utagundua kuwa huyu mtu anapambwa sana zaidi ya viongozi waliopita wakati wa uongozi wao. Kwa mfano TBC 1 wameanzisha vipindi vipya vingi wakivipa majina tofauti lakini kinachojadiliwa ndani ni kama kumsifia Magufuli tu.
Si TBC tu sasa karibu media zote zinamsifu.
Si vibaya kumpa mtu haki yake kama anafanya vyema ila hii sasa too much.
Si ajabu umetulia zako mahali unamwona mtu na mike yake anaanza kukuuliza "Unazionaje juhudi za Mheshimiwa"?.
Kuna nini nyuma ya sifa hizi?
Note: Wale wanaosifu kupitiliza wakumbuke kabla ya Magufuli walikuwepo Marais Tanzania na Magufuli akimaliza kipindi chake watakuwepo Marais wengine Tanzania.
Ukisikiliza au ukitazama vyombo vya habari mbalimbali ndani ya hii miaka 3 ya utawala wa Rais Magufuli utagundua kuwa huyu mtu anapambwa sana zaidi ya viongozi waliopita wakati wa uongozi wao. Kwa mfano TBC 1 wameanzisha vipindi vipya vingi wakivipa majina tofauti lakini kinachojadiliwa ndani ni kama kumsifia Magufuli tu.
Si TBC tu sasa karibu media zote zinamsifu.
Si vibaya kumpa mtu haki yake kama anafanya vyema ila hii sasa too much.
Si ajabu umetulia zako mahali unamwona mtu na mike yake anaanza kukuuliza "Unazionaje juhudi za Mheshimiwa"?.
Kuna nini nyuma ya sifa hizi?
Note: Wale wanaosifu kupitiliza wakumbuke kabla ya Magufuli walikuwepo Marais Tanzania na Magufuli akimaliza kipindi chake watakuwepo Marais wengine Tanzania.