pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Hakuna mkate mgumu kwa chai,
Tutajiunga tu,
Wazungu hatuwawezi
Tutajiunga tu,
Wazungu hatuwawezi
Brother umeelewa lakin maana ya EPA?au umekurupuka kuandika.Haya ni maamuzi ya hovyo kabisa. Sasa sisi Tanzania tuna nini cha kusema tunalinda cha ndani? Tulichonacho hakina hadhi ya kulindwa.
Economic advantage yetu ni vitu raw, i.e unprocessed, mfano mbao, maparachichi, maua, nk.
kwa upande mmoja sisi tuna ardhi ya kutosha inayoweza kutumiwa na wajasiriamali kuzalisha raw products. Kwa upande wa pili, wazungu wao wana teknolojia muhimu tunazozihitaji.
Hapa unapata win-win situation.
Naelewa. Acheni mitizamo hasi isiyo na tija. EPA ina faida kwa progress ya nchi.Brother umeelewa lakin maana ya EPA?au umekurupuka kuandika.
Hujaelewa vizuri mkuu, kasome tena.Haya ni maamuzi ya hovyo kabisa. Sasa sisi Tanzania tuna nini cha kusema tunalinda cha ndani? Tulichonacho hakina hadhi ya kulindwa.
Economic advantage yetu ni vitu raw, i.e unprocessed, mfano mbao, maparachichi, maua, nk.
kwa upande mmoja sisi tuna ardhi ya kutosha inayoweza kutumiwa na wajasiriamali kuzalisha raw products. Kwa upande wa pili, wazungu wao wana teknolojia muhimu tunazozihitaji.
Hapa unapata win-win situation.
Lakini wananchi watapata bidhaa kwa bei rahisiiiii, kuliko zile zinazozalishwa ndani,Hujaelewa vizuri mkuu, kasome tena.
Kwa kifupi tukisaini mkataba wa EPA bidhaa kutoka Ulaya hazitalipiwa kodi hivyo nchi kupoteza 70% ya fedha itokanayo na kodi kwa bidhaa hizo.
Mimi kwa baadhi ya mambo niliyoyasoma, nimeshapata ufahamu kuwa, bila Ulaya na Marekani hakuna nchi inayoweza kuendelea.Hujaelewa vizuri mkuu, kasome tena.
Kwa kifupi tukisaini mkataba wa EPA bidhaa kutoka Ulaya hazitalipiwa kodi hivyo nchi kupoteza 70% ya fedha itokanayo na kodi kwa bidhaa hizo.
Hiyo advantage unayoitaja unaipata kwenye EBA ambapo vitu vyote hivyo huingia EU bila kodi mkataba ulisainiwa 2001, nia ikiwa ni kukuza uchumi wetu. Hili suala la EPA ni suala la EU kuingiza bidhaa nchini bila kodi. Elewa kipengele hicho kwanzaHaya ni maamuzi ya hovyo kabisa. Sasa sisi Tanzania tuna nini cha kusema tunalinda cha ndani? Tulichonacho hakina hadhi ya kulindwa.
Economic advantage yetu ni vitu raw, i.e unprocessed, mfano mbao, maparachichi, maua, nk.
kwa upande mmoja sisi tuna ardhi ya kutosha inayoweza kutumiwa na wajasiriamali kuzalisha raw products. Kwa upande wa pili, wazungu wao wana teknolojia muhimu tunazozihitaji.
Hapa unapata win-win situation.