Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
Serikali inakosea sana kufanya maamuzi ya haraka,kiasi kwamba hata mtu anaevunja makosa kwa muda mrefu anakuja kuonekana ana haki mfano ni hawa machinga wanaokaaga na kuzunguka barabarani.
Huu ni mfano wa stand ya Msamvu Morogoro .Hakuna mipango wala mikakati ya kurekebisha au kuwaondoa mapema.
Wakizoea saaana mwisho siku wakiambiwa wavunje maeneo yao sio rasmi ni vita itatokea.
Leo tunashudia machinga wameanza kurudi tena sehemu zao za kujipatia riziki zao.
Kwa mtindo huu kweli tutafika au tutapiga hatua.?
Barabara ya Mandela maeneo ya Bakharesa,buguruni sokoni,ubungo,wanaonekana kurudi tena
Huu ni mfano wa stand ya Msamvu Morogoro .Hakuna mipango wala mikakati ya kurekebisha au kuwaondoa mapema.
Wakizoea saaana mwisho siku wakiambiwa wavunje maeneo yao sio rasmi ni vita itatokea.
Leo tunashudia machinga wameanza kurudi tena sehemu zao za kujipatia riziki zao.
Kwa mtindo huu kweli tutafika au tutapiga hatua.?
Barabara ya Mandela maeneo ya Bakharesa,buguruni sokoni,ubungo,wanaonekana kurudi tena