Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Kama kawaida yao wameanza mikwara kwa sababu tu sasa hivi wanatakiwa walipe kodi nao hawataki hivyo hakuna kulegeza kamba ni lazima kodi zetu walipe kama hawataki waende ni bora kutokuwa na Kampuni klk kuwa na Kampuni inayotunyonya!
Hawa Wazungu wamezoea kutuona Waafrika mazoba sana, hawataki kulipa kodi halafu hela yote wanapeleka kwao kisha wanarusha vijisenti kama development aid kuajiri mahouse nigga ambao wanawatumia kama malobbyist na ndiyo waliojaa hapa JF kumtetea Mzungu, wanajenga choo hapa na pale, sasa tunasema tunataka kodi yetu na hatutaki development aid!
Makampuni ya simu yanafanya transactions za Mbailioni ya Shilingi kupitia Mpesa, vocha n.k. lkn kulipia kiasi cha hicho kama kodi hawataki, fvck them!
Hawa Wazungu wamezoea kutuona Waafrika mazoba sana, hawataki kulipa kodi halafu hela yote wanapeleka kwao kisha wanarusha vijisenti kama development aid kuajiri mahouse nigga ambao wanawatumia kama malobbyist na ndiyo waliojaa hapa JF kumtetea Mzungu, wanajenga choo hapa na pale, sasa tunasema tunataka kodi yetu na hatutaki development aid!
Makampuni ya simu yanafanya transactions za Mbailioni ya Shilingi kupitia Mpesa, vocha n.k. lkn kulipia kiasi cha hicho kama kodi hawataki, fvck them!