Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,650
- 29,116
Hili nalo neno. Mtoa mada amefafanua vizuri kabisa. Serika itabidi ibadilishe policy ili kuendana na wakati or hii hali itakuwa ya kujirudia daily.Sentensi yako ya mwisho ndo umemaliza kila kitu mkuu, 'kudos'. Ukishaanza kuona matamko ya kujaribu ku control bei, ujue kabisa kuna uhaba. Na hapo ndipo serikali inapoharibu kabisa, wao wanapenda kunyooshea wenzao vidole wakati wao ndio wameshindwa kutimiza wajibu wao. Inatia huzuni sana