Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 867
- 1,008
Cement sio bidhaa ya kufungia godownHapa tuseme kuanzia last year ndio matumizi ya saruji yameongezeka, kwa wingi wa miradi ya serikali ya awamu hii naamini itakuwa inachangi, lakini pia naamini wafanyabiashara wa saruji wanaweza kuwa na siri zao kama nilivyosema kwenye issue ya sukari last time.
Hawa watu mara nyingi huwa wana tabia za kununua mzigo mkubwa na kuuweka kwenye godown kuangalia upepo utavyokuwa.