johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,663
Mimi siyo muhasibu lakini nafahamu kwamba gawio ni sehemu ya mapato yatokanayo katika faida ya biashara. Hivyo ili upate gawio ni lazima pawepo na faida iliyopatikana katika mwaka husika.
Ziada kwa upande mwingine ni ile bakaa inayobakia baada ya kutoa matumizi kwenye mapato ya taasisi zisizo za kibiashara. Ziada inaweza kuwepo hata kama taasisi husika haijatengeneza faida.
Naomba wahasibu na wachumi mkuje hapa mnipinge kitaaluma.
Maendeleo hayana vyama!
Ziada kwa upande mwingine ni ile bakaa inayobakia baada ya kutoa matumizi kwenye mapato ya taasisi zisizo za kibiashara. Ziada inaweza kuwepo hata kama taasisi husika haijatengeneza faida.
Naomba wahasibu na wachumi mkuje hapa mnipinge kitaaluma.
Maendeleo hayana vyama!