johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,334
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema takribani watu 345,000 sawa na 34% ya chanjo zilizokuja wameshachanja.
Msigwa amesema kazi kubwa imefanyika kuhakikisha watu hao wengi wamechanjwa na sasa kipaumbele kitakuwa vijijini ambako tunawapelekea chanjo huko huko.
Msigwa amesema chanjo zaidi ya milioni moja zilipokelewa kwa awamu ya kwanza na zikiisha zitaletwa nyingine.
Kimsingi tunaenda kuanzisha Wiki ya Chanjo ambayo itakuwa inasimamiwa na viongozi wote wa eneo husika kuhakikisha watu wengi zaidi wanahamasika na kuchanja.
Chanzo: TBC
Msigwa amesema kazi kubwa imefanyika kuhakikisha watu hao wengi wamechanjwa na sasa kipaumbele kitakuwa vijijini ambako tunawapelekea chanjo huko huko.
Msigwa amesema chanjo zaidi ya milioni moja zilipokelewa kwa awamu ya kwanza na zikiisha zitaletwa nyingine.
Kimsingi tunaenda kuanzisha Wiki ya Chanjo ambayo itakuwa inasimamiwa na viongozi wote wa eneo husika kuhakikisha watu wengi zaidi wanahamasika na kuchanja.
Chanzo: TBC